Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
well said aisee
binafsi naita huo ni uchafu... Utaandaliaje wengine chakula wakati hujaoga, hujanawa, domo limevunda, kwapa ndio usiseme, halafu kibaya zaidi mtu unakuta amevaa kanga moja, minywele kaiachia kila kona
pufffffffff
hehehehehe na asubuhi ya kesho lazma umuone mmoja
au unaishi masaki teheteheeee tena atakuwa anaswaki huku ana dalili za kutapika wkt weye wapiga tea .pole mkuu