The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Wapo watu ,anaweza kuwa mke/mumeo au mwanao au ndugu yako au
office mate /house mate na kadhalika lakini wana tabia ambazo mimi huwa
naziita 'very interesting'.......mfano..
uko sebuleni unatazama tv ,anakuja na kubadili channel
na pengine atakwambia 'taarifa ya habari saa hizi'....halafu huyo
anatoka nje au anaingia chumbani/jikoni kuendelea na shughuli zake.....lol....
mwingine anakuja na kuzima ac/feni oficin au nyumbani ulipo wewe
halafu huyo anaendelea na shughuli zake na kukuacha na joto zaidi
au mwingine anaongeza feni/ac na kukuacha na baridi zaidi lol....
mwingine mnatazama taarifa ya habari halafu anakuuliza wewe maswali
kama wewe ndo 'uliyesoma hiyo taarifa ya habari' wakati na yeye alikuwepo mwanzo mwisho...lol
mwingine atakuwekea kipindi cha dini kwenye tv halafu huyooo
anakuacha wewe unaendelea kutazama...lol
mwingine ........mnaweza kuendelea ......
office mate /house mate na kadhalika lakini wana tabia ambazo mimi huwa
naziita 'very interesting'.......mfano..
uko sebuleni unatazama tv ,anakuja na kubadili channel
na pengine atakwambia 'taarifa ya habari saa hizi'....halafu huyo
anatoka nje au anaingia chumbani/jikoni kuendelea na shughuli zake.....lol....
mwingine anakuja na kuzima ac/feni oficin au nyumbani ulipo wewe
halafu huyo anaendelea na shughuli zake na kukuacha na joto zaidi
au mwingine anaongeza feni/ac na kukuacha na baridi zaidi lol....
mwingine mnatazama taarifa ya habari halafu anakuuliza wewe maswali
kama wewe ndo 'uliyesoma hiyo taarifa ya habari' wakati na yeye alikuwepo mwanzo mwisho...lol
mwingine atakuwekea kipindi cha dini kwenye tv halafu huyooo
anakuacha wewe unaendelea kutazama...lol
mwingine ........mnaweza kuendelea ......