Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,609
Si unajua limbukeni wengine wanataka kuonekana, kulimbwata, nioneni na mie nimo.
Anajua huku USA na U NBA wake wote kuna machizi watamuona kitoko tu, tena ndiyo kwanza wataanza kumsagia stats zake.
Sasa akija bongo anajua kila mtu anamtetemekea NBA superstar. Ndiyo yale yale ya masikini akipata ****** hulia mbwata.
Wakati kina Warren Buffet wanaendesha mikoko ya kutoka mid seventies huko, huku wameisusa mibilioni ya dola iende kugawiwa kwenye charities. NAongea mibilioni ya dola.
SAsa mwenzetu kapata milioni kadhaa tu zinamlevya. Asije kugeuka MIke Tyson wetu tu.
Huku nani anamjua huyu...kwanza ataishia kuwa bust tu...weee subiri