huyu ni nani???
Sikuamini nilipomsikia anaongea uku KISWAHILI kinampa shida sana kukitamka...
tatizo hamna shule ya kutoa ushamba!!!ndo ugonjwa unaomsumbua huyu mtu mwenye mwili kama kabati la mbao la nguo!....hili shavu angelipata mjanja flani naamini wabongo wote wangeona ufahari ila si huyu pimbi hashimu na swagga zake za kutembea huku masaburi anayainua juu juu kama break ya ndege!
Senetor...mkali aje mbona jina la hemedi umenishikia bango kila nikipoteza mzazi unatupia mumo mumo!!!acha hizo mnyama!ila hasheem upimbi hauwezi kumuisha!akija bongo anapanic anavyokuta wakali wanavyojipigia dadake zake halafu kwa sound na mauzo ya kimjini!anaacha kucocentrate na fani yake anataka kuvimbia watu bila sababuteh teh teh,hemedi umeua bendi mkuu!
tatizo hamna shule ya kutoa ushamba!!!ndo ugonjwa unaomsumbua huyu mtu mwenye mwili kama kabati la mbao la nguo!....hili shavu angelipata mjanja flani naamini wabongo wote wangeona ufahari ila si huyu pimbi hashimu na swagga zake za kutembea huku masaburi anayainua juu juu kama break ya ndege!
/Jamaa kawazidi kwa kila kitu: fame, money, women, physical presence, attitude, plus he's hung like a donkey. In short, dude's in a totally different league. Let dude be himself bandugu!