Kimenuka: Mchezaji Geremi Njitap ataka kumtaliki mkewe baada ya kubaini watoto mapacha aliowakuza kwa miaka 16 sio wake'

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,566
1711213931679.png

Ndoa ya Nyota wa zamani wa Chelsea na timu ya Taifa ya Cameroon, Geremi Njitap ipo katika mchakato wa talaka baada ya kubainika Watoto Mapacha waliozaliwa Mwaka 2008 miaka minne kabla ya kufunga ndoa na mkewe, Toukam Fotso Laure Verline si wake Kibaiolojia

Geremi (45) amefungua kesi Mahakamani akitaka ndoa ivunjike baada ya Vipimo vya Vinasaba (DNA) kuonesha Mapacha hao ambao mkewe alimuaminisha ni wa kwake, ni wa mwenza wa zamani wa Toukam

Nyaraka zilizovuja Mtandaoni zimeonesha Geremi amelalamika kukosewa heshima na mkewe ambaye alikuwa akimtolea lugha ya dharau mbele ya Watoto hao pia walikuwa na migogoro ya mara kwa mara

Geremi akiwa Beki wa Kulia mwenye uwezo wa kucheza nafasi ya Kiiungo Mkabaji alicheza pia katika Timu za Real Madrid, Middlesbrough na Newcastle United
---

Geremi Njitap has reportedly sent his wife packing after allegedly finding out he fathered twins that were never his during their 12 years of marriage.

Former Cameroonian footballer Geremi Njitap, known for his stellar career with Chelsea, has made the headlines, this time for some shocking details about his personal life.

The 45-year-old former Blues right back has sparked controversy over his recent divorce filing against his wife of 12 years, Toukam Fotso Laure Verline.

The couple's union, once seen as a symbol of love and stability, has reportedly crumbled under the weight of startling revelations that have sent shockwaves through the Cameroonian media landscape.

In a bombshell revelation detailed in court documents obtained exclusively by Cameroon News Agency and as reported by Mimimemofo Infos, Njitap alleges a series of disturbing events that have led to the demise of his marriage to Toukam Fotso Laurie Verline, the daughter of the late Cameroonian billionaire, Fotso Victor.

Geremi Njitap and his wife Toukam Fotso Laurie Verline are at crossroads over an alleged paternity fraud

Among the most shocking claims is Njitap's assertion that the twins the couple welcomed in 2008 are not biologically his, as previously believed.

Instead, Geremi alleges that a DNA test reveled that the twins are the offspring of his wife's previous partner, a revelation that has stunned fans and followers alike.
According to court documents obtained by the aforementioned outlet, is Toukam Fotso Laure's alleged deceit regarding the paternity of their twin children.

A DNA test reportedly proved Geremi Njitap is not the biological father of his wife’s twins

Born on June 5, 2008, four years before their marriage, Toukam presented the twins as her own, allegedly misleading Njitap into believing they were his biological offspring.

But the drama doesn't end there.

In the documents obtained from aforementioned outlet, Njitap paints a picture of marital discord, citing his wife's alleged rejection of sexual intimacy as a major point of contention in their relationship.

Geremi Njitap and his wife Toukam Laurie Verline are at crossroads over an alleged paternity fraud

Furthermore, the former Indomitable Lion alleges verbal mistreatment at the hands of his spouse, claiming that he has been subjected to insults and derogatory language in front of their children.

Geremi Njitap alleged via the divorce papers that he had endured series of verbal abuse from his wife during their 12 years of marriage. These explosive allegations have cast a shadow over what was once perceived as a picture-perfect marriage.

During his playing days, Geremi Njitap was known for his versatility, being able to to play at right back, right midfield or defensive midfielder.
 
Moja ya kitu ambacho wanawake hawataki kukisikia ni hiki DNA,siku mchakato wa DNA Tz ukiwa mrahisi,ndoa nyingi zitaenda na maji kwani inauma kulea bao la mwenzio.

Wanawake kwa kupiga kelele utawasikia wakitusema wanaume sio waaminifu,kumbe huu mchakato mgumu wa kipimo hiki cha DNA Tz una wasitiri.

Huyu mwamba na body lake,hela aliyokuwa akilipwa plus mzigo wa nguvu aliokuwa akiupiga pale Chelsea ila bado kachapiwa.

Nawaomea huruma wanao hangaika na Gym,michuzi ya pweza,vifurushi vya mihogo na karanga pamoja ana Alkasusu,ila wakae wakijua kama,wanawake zao hawa jitambui wala kuwa na hofu ya Mungu ndani yao kugongewa ni kawaida,haijalishi kama unahela au kitandani una pumzi kwani Geremi ana hivyo vyote.
 
H
Ndiyo maana mimi nilipima DNA watoto wangu wote kabla ya kumjengea nyumba mke wangu kwao. Nakataa kabisa kuwa siwezi na sitaki kulea mtoto wa mwanamme mwenzangu na siku nikigundua mke wangu anachapwa na mtu mwingine ndiyo mwisho wa ndoa yetu.
Kuchapiwa mke sio sababu ya kuvunja NDOA Mkuu, na hakuna sababu yoyote au kosa au mashtaka au kitu chochote chenye UHALALI wa kuvunja NDOA ya AGANO (i.e mke na mume waliounganishwa na MUNGU)

muhimu ni kusamehe na kumwachia MUNGU B'se yeye ndie mwenye kutoa hukumu ya haki pekee ake,

wewe ni binadamu na hujakamilika unawezaje kumuhukumu mwenzako? Je wewe hujawahi kukosea? 🤷

Yohana 8.7
"Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe"

swala NDOA sio la kukulupuka linahitaji muda wa kutosha ili kuhakikisha huyo unaenda kuunganika nae na kua mwili mmoja Hakika ni SAHIHI,

1petro 3.7
"Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili"✍️
 
Sio Geremi tu, hata hapa juzi jumanne jamaa yetu maarufu Mparee alikunywa sumu akiwa ofisini kwake tukamuwahi na maziwa.....

Tatizo ni hilohilo la kulea watoto wawili wa kike wasio wa kwake na kukuta message za Mke wake wakichat na X wake ambaye ndio baba wa watoto

Haya mambo yasikie tu
 
H

Kuchapiwa mke sio sababu ya kuvunja NDOA Mkuu, na hakuna sababu yoyote au kosa au mashtaka au kitu chochote chenye UHALALI wa kuvunja NDOA ya AGANO (i.e mke na mume waliounganishwa na MUNGU)

muhimu ni kusamehe na kumwachia MUNGU B'se yeye ndie mwenye kutoa hukumu ya haki pekee ake,

wewe ni binadamu na hujakamilika unawezaje kumuhukumu mwenzako? Je wewe hujawahi kukosea?

Yohana 8.7
"Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe"

swala NDOA sio la kukulupuka linahitaji muda wa kutosha ili kuhakikisha huyo unaenda kuunganika nae na kua mwili mmoja Hakika ni SAHIHI,

1petro 3.7
"Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili"
Nyie walokole nyie ndo mmejawa ufuska na makando kando kibao alafu unatuletea maandiko ambayo ukiyaleta kwenye uhalisia wa jambo linapokukuta hayo maandiko hayakusaidii kitu.

Kwenda zako bhana

Sent from my SM-G998U using JamiiForums mobile app
 
H

Kuchapiwa mke sio sababu ya kuvunja NDOA Mkuu, na hakuna sababu yoyote au kosa au mashtaka au kitu chochote chenye UHALALI wa kuvunja NDOA ya AGANO (i.e mke na mume waliounganishwa na MUNGU)

muhimu ni kusamehe na kumwachia MUNGU B'se yeye ndie mwenye kutoa hukumu ya haki pekee ake,

wewe ni binadamu na hujakamilika unawezaje kumuhukumu mwenzako? Je wewe hujawahi kukosea? 🤷

Yohana 8.7
"Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe"

swala NDOA sio la kukulupuka linahitaji muda wa kutosha ili kuhakikisha huyo unaenda kuunganika nae na kua mwili mmoja Hakika ni SAHIHI,

1petro 3.7
"Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili"✍️
Kwahyo tushike lipi hapo Petro 3:7 ai yohana 8:7
 
Kuchapiwa kunaweza kusameheka, but kuzaa nje hakusameheki. Hata kanisa limeweka wazi kabisa sababu za kuzaa nje kwa makusudi ni kosa kubwa mno, huyo mama kazaa na kamfanganya jamaa for 12 yrs? Unataka apotezee kirahis

You dont uzito wa tatizo until utakapo simama kwenye viatu vya watu
 
Back
Top Bottom