Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,059
Nawashangaa sana watu wanomchangia mtoto mtukutu! Mpaka baba yake amemchoka nyumbani!!Bora kuomba kuliko kuiba au ujafuzwa na wazazi wako.
Nawashangaa sana watu wanomchangia mtoto mtukutu! Mpaka baba yake amemchoka nyumbani!!Bora kuomba kuliko kuiba au ujafuzwa na wazazi wako.
Walijibiwa na CDM kuwa wenye wajibu wa kuwalinda ni Jeshi la polisi chini ya serikali inayoongozwa na CCM.TBC waliandika barua kwa CDM hawataweza kucove kampeni zao kama hawatahakikishiwa usalama wao, what a joke
Nimeguswa sana na chadema hasa leo wanapozindua mchakato wa changia Chadema.Chadema watoe M-Pesa,au Tigo,au Airtel Money.Sasa wewe je unaichangia shilingi ngapi chadema?Saa ya ukombomozi ni sasat
Mbowe kachangia sh ngapi?Mbowe kamaliza
Kwa nini Harambee hii inafanyikia Kaskazini tena Usiku?????KWASASA KINACHOENDELEA NI MAKADA NA WANACHAMA WAKIINGIA KATIKA UKUMBI WAKIBADILISHANA MAWAZO....SAA MBILI KAMILI SHUNGULI RASMI ITAANZA. TELEVISION YA STAR TV INAONYESHA LIVE KWA WALE AMBAO HAWATAWEZA KUFIKA HAPA. :roll::roll::roll::
Mwigulu najua upo hapa na ume tune Star TV huku moyo wako ukihangaika sana, mwaga utumbo hapa plz
Millioni 3.5 kila meza