mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Maneno ya mkosaji hayo...pole sana! leo hutopata usingiziMkuu, hakuna mtu wa kuchukia Chadema kuchangiwa, hapo mezani alipokaa Lema, kuna kama Laki tano tu.
Maneno ya mkosaji hayo...pole sana! leo hutopata usingiziMkuu, hakuna mtu wa kuchukia Chadema kuchangiwa, hapo mezani alipokaa Lema, kuna kama Laki tano tu.
Wasiwasi wangu ni matumizi tu ya hizo hela..sidhani kama zitatumika kwa kusudio lake!
Atakuwa wa CDM tu huyo lazima...hivi ni kiongozi gani alihongwa suti na baada ya kupewa suti akalipiwa na chumba
Bora kuomba kuliko kuiba au ujafuzwa na wazazi wako.Chama cha walalamikaji, chama kila mara kinaona kinonewa!
Hongereni CDM kwa kuweka historia mpya TZ ya kuomba omba kuanzia kura hadi fedha za kuendesha chama na za kampeni!
Nimewachangia Laki tatu.
Maneno ya mkosaji hayo...pole sana!Wasiwasi wangu ni matumizi tu ya hizo hela..sidhani kama zitatumika kwa kusudio lake!
Kuna watu ndani ya CDM ambao ukiwachangia kama vile akina Zitto unaona kabisa umeitea vyema hela yako! But kuwachangia hao ndugu zangu wengine ni kutupa tu hela jalalani!changia chadema wewe; acha kujibaraguza
Hawa jamaa wamechoka ile mbaya hadi sasa wana tembeza bakuli, igunga walikuwa na pesa za wafadhili wanagawa ccm 30000, cdm 20000, utaweza wapi kushindana na ccm wanapesa za mafisadi, hao wa meru maisha yenyewe magumu halafu uwakamue shilingi zao, halafu wakupe kura Mawe!!
Ahsante....lakini hizo pesa ni za kodi zetu'kwahiyo hakuna kilichohalibikaNimewachangia Laki tatu.