Harambee ya CHADEMA - Naura Spring, Arusha

Nimeguswa sana na chadema hasa leo wanapozindua mchakato wa changia Chadema.Chadema watoe M-Pesa,au Tigo,au Airtel Money.Sasa wewe je unaichangia shilingi ngapi chadema?Saa ya ukombomozi ni sasat
 
Chama cha walalamikaji, chama kila mara kinaona kinonewa!
Hongereni CDM kwa kuweka historia mpya TZ ya kuomba omba kuanzia kura hadi fedha za kuendesha chama na za kampeni!
Bora kuomba kuliko kuiba au ujafuzwa na wazazi wako.
 
changia chadema wewe; acha kujibaraguza
Kuna watu ndani ya CDM ambao ukiwachangia kama vile akina Zitto unaona kabisa umeitea vyema hela yako! But kuwachangia hao ndugu zangu wengine ni kutupa tu hela jalalani!
 
Hawa jamaa wamechoka ile mbaya hadi sasa wana tembeza bakuli, igunga walikuwa na pesa za wafadhili wanagawa ccm 30000, cdm 20000, utaweza wapi kushindana na ccm wanapesa za mafisadi, hao wa meru maisha yenyewe magumu halafu uwakamue shilingi zao, halafu wakupe kura Mawe!!

nyamaza hujui lengo kijana tulia kwa mama unywe uji.
 
Back
Top Bottom