mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Mkuu watu kama Rejeo,Ritz,Waberoya,Mohamedi shossi,Kimbunga and com'leo hawatapata usingizi kwa chuki waliyonayohahaaa mkuu hata huyu Ritz inaonekana anaizimia CDM ile mbaya ile vidole kwenye keyboard ndio vinapindisha ukweli
dhidi ya CDM...yaani kama ninawaona walivyokasilika huko waliko. Poleni sana! Mnamuona Mbowe huyo? Mnaona
hayo manoti ya michango hapo mezani? Kubali mkatae Chadema ni namba nyingine!