mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Yaani we acha tu....kuishabikia chadema ni raha tupu....sasa naona Slaa anaongeaChadema iko juu kama Man U!
Yaani we acha tu....kuishabikia chadema ni raha tupu....sasa naona Slaa anaongeaChadema iko juu kama Man U!
Kuna watu wanatamani kupiga TV zao mateke....chezea Chadema wewe!inafurahisha sana kwa kweli inatia moyo wakoloni weusi najua matumbo joto.
wakati mnakataa posho huku mnatembeza bakuli inakuwaje hii,, UNAFIKI hamna lolote twajuwa lengo lenu bhana
Hata KANU ya kenya ilikuwa na watu kama wewe,pole sana!wakati mnakataa posho huku mnatembeza bakuli inakuwaje hii,, UNAFIKI hamna lolote twajuwa lengo lenu bhana
Naona watu hamuelewi maana ya fund raising si lazima mhusika achangie watu wa mbali wanaweza kuchangia kwa simu hata wewe wa CUF unaweza kuchangia kama unataka.Hawa jamaa wamechoka ile mbaya hadi sasa wana tembeza bakuli, igunga walikuwa na pesa za wafadhili wanagawa ccm 30000, cdm 20000, utaweza wapi kushindana na ccm wanapesa za mafisadi, hao wa meru maisha yenyewe magumu halafu uwakamue shilingi zao, halafu wakupe kura Mawe!!
Kabla hujachangia shughulisha kichwa chako usichangie ilimrimradi vidole vinaweza ku type. Halafu pia epuka kutumia akili za kuambiwa kuchangia kwani hapa inaonyesha umetumia vichwa vya Nape na Mukama kufikiriwakati mnakataa posho huku mnatembeza bakuli inakuwaje hii,, UNAFIKI hamna lolote twajuwa lengo lenu bhana
Thubutuu!!!? sasahivi hata baadhi ya viongozi wa ccm wanaipenda CDM kimoyomoyohiki CHADEMA si ndio kile moja ya vyama vya msimu kama alivyosema JK?