Hiki chama kimeisha filisika aisee na huu ufisadi wa mabilioni ya sabodo na ruzuku ndio umewafikisha hapo kutembeza bakuli
rip cufhawa jamaa wamechoka ile mbaya hadi sasa wana tembeza bakuli, igunga walikuwa na pesa za wafadhili wanagawa ccm 30000, cdm 20000, utaweza wapi kushindana na ccm wanapesa za mafisadi, hao wa meru maisha yenyewe magumu halafu uwakamue shilingi zao, halafu wakupe kura mawe!!
Mutakunywa sumu mwaka huu! tukiwaambieni CDM ni chama makini mnatokwa na mapovu. Sasa si unaona hawa watuWakuu, hivi kuna kingilio kwenye hiyo Harambee mbona watu wachache sana...naona wamejaa tu wabunge wa Chadema.
mkuu angalia startv hakika watu wamejitokeza....??MOVEMENT FOR CHANGE