Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,326
- 105,742
Unanishangaza sana wewe inaonekana wewe ni mbahili hahaha ..hivi mama watoto huwa unampa gud time kweli ..usikasirike lakini mie napenda kujua ??
Maana asubuhi hii ukianza jazba kutakuwa JF hakuingiliki
I did not want to go where I am going, as usually I am not the bragging type, at least when it come to these matters. I like to be discreet. Lakini naona unaniforce.
Na kama alivyosema Muhammad Ali, it ain't bragging if you done did it.
To the contrary, mimi nasomesha vijana bongo, nimetoka kuchangia about $ 5000 kwenye harusi ya cousin wangu juzi tu, na ni mtu ninayeamini katika kutoa sehemu inayohusika. Nishampa mtu baki $ 2500 wakati alikuwa na matatizo genuine -Si mkopo, nimempa, in the middle of a recession- juzi nimemtumia mtu, family friend tu $ 500 bongo kwa sababu ya matatizo ya afya. Wanaonifuatilia hapa JF watajua nishatoa scholarship ya $ 1500 kwa mtu anayehitaji kwa masomo bongo.Wabongo mpaka leo hawajaiclaim! Kama unamjua Steve B muulize, anaujua mchongo huu.
Hizi $ 200 - $ 300 ndiyo usiseme, mpaka kuna wakati naona ninazidi!
Demu wangu nampa hela mpaka ananirudishia, ananiambia mbona unanipa hela nyingi hivi? Yeye mwenyewe yuko OK na hana mapepe na hela.
Kwa hiyo suala la ubahili sina, kwa sababu ingawa siwezi kusema ni tajiri, lakini moyo wa kutoa kama ninacho ninao, na nina furaha sana kwa ajili ya hili kwa sababu kuna wengi wana hela nyingi kuliko mimi lakini kwenye scale ya kutoa bado wanashindwa.
Sisemi kwamba ninazo sana, ila najua katika moyo wangu kwamba swala la ubahili sina
Lakini si katika ku fund anasa za kijinga kama hizi za kwenda kuangalia Brazil na ku support ufisadi wa CCM.