Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Watanzania wenzangu,
Siku zote nimekuwa nikiwahurumia sana kwa ajili ya matatizo yanayowakabili,ila hili la ujio wa timu ya Brazil nimelifurahia sababu ni moja ya michezo ambayo mnaipenda
Kwa kuwa tumesikia na kuona na nimeukuu hapa chini basi nawasihi sana mgome kwenda kuwatazama Brazil na njia sahihi ni kutazamana kupitia TV zenu huku mkiburudika na ulanzi au coca cola
1.Mpira wa miguu haujawahi kuwa anasa kiasi cha watu kulipa dola 25.(TSH 30,000)kuangalia mechi moja katika nchi iliyo na huduma mbovu za kijamii,maisha duni kwa kila mtannzania.
2.Hii wizara imekaa na kuamua kutoa Dola milioni sita,Hii pesa imetoka kwenye bajeti ipi?
3.Gharama hizi ni za juu sana na tunaomba kupatiwa mchakato mzima wa jinsi ya makubaliano yalivyofanyika
4.Sulivan Summit ilifanyika hapa ,Wor;d Economic Forum pia.Je ni faida gani tumepata kutokana na Mikutano hiyo?Je na huu utalipatia faida taifa kiasi gani?au ni kutafuta Sifa tu zisizo na tija?
Baada ya kutoa sababu hizo hapo juu naomba kuwauliza serikali.
1.Kama kuwaongezea walimu pesa kunahitajika pesa nyingi,kwanini wizara isikae na kutafuta pesa kwa ajili ya kuwaongezea mishahara?imeonekana wanaweza kukaa na kupata pesa.Ndiyo tupo tayari kukchangia hata kwa kwenda kuwaona Simba na Yanga ili mradi pesa iende kwenye Maendeleo
2.Nchi ambayo haina walimuwa kutosha,madawati ya kutosha na upungufu wa maji kwanini pesa kama hizi hata kama ni za kukopa zisielekezwe huko.
3.Hizo pesa mmezitoa kwenye Bajeti gani?nataka kupata jibu haraka iwezekanavyo ili nishauri nini cha kufanya.Haiwezekani pesa inachukuliwa chukuliwa ovyo ovyo kwa maamuzi ya wachache bila bunge kuidhinisha?
I don't buy this idea at all unless otherwise.Ila siwalazimishi kugoma kama Mnataka endeleeni tu kuunga mkono na mtakuwa mkifanya hivyo kuongeza kiwango ya umasikini mlionao..
hivi tenga kabla ya TFF alikuwa anafanya kazi wapi?i need to know sababu naona akili yake inakwenda tenge.
Nipo na wachungaji tunawaombea .Gharama za zimbabwe hizi hapa chini
Siku zote nimekuwa nikiwahurumia sana kwa ajili ya matatizo yanayowakabili,ila hili la ujio wa timu ya Brazil nimelifurahia sababu ni moja ya michezo ambayo mnaipenda
Kwa kuwa tumesikia na kuona na nimeukuu hapa chini basi nawasihi sana mgome kwenda kuwatazama Brazil na njia sahihi ni kutazamana kupitia TV zenu huku mkiburudika na ulanzi au coca cola
Sababu za kugomea mechi hizo ni hizi hapaThe government earlier this year appointed a committee led by a minister and with a budget of about $6m (£4.17m) for the purpose, but most teams contacted by the TFF turned them down
1.Mpira wa miguu haujawahi kuwa anasa kiasi cha watu kulipa dola 25.(TSH 30,000)kuangalia mechi moja katika nchi iliyo na huduma mbovu za kijamii,maisha duni kwa kila mtannzania.
2.Hii wizara imekaa na kuamua kutoa Dola milioni sita,Hii pesa imetoka kwenye bajeti ipi?
3.Gharama hizi ni za juu sana na tunaomba kupatiwa mchakato mzima wa jinsi ya makubaliano yalivyofanyika
4.Sulivan Summit ilifanyika hapa ,Wor;d Economic Forum pia.Je ni faida gani tumepata kutokana na Mikutano hiyo?Je na huu utalipatia faida taifa kiasi gani?au ni kutafuta Sifa tu zisizo na tija?
Baada ya kutoa sababu hizo hapo juu naomba kuwauliza serikali.
1.Kama kuwaongezea walimu pesa kunahitajika pesa nyingi,kwanini wizara isikae na kutafuta pesa kwa ajili ya kuwaongezea mishahara?imeonekana wanaweza kukaa na kupata pesa.Ndiyo tupo tayari kukchangia hata kwa kwenda kuwaona Simba na Yanga ili mradi pesa iende kwenye Maendeleo
2.Nchi ambayo haina walimuwa kutosha,madawati ya kutosha na upungufu wa maji kwanini pesa kama hizi hata kama ni za kukopa zisielekezwe huko.
3.Hizo pesa mmezitoa kwenye Bajeti gani?nataka kupata jibu haraka iwezekanavyo ili nishauri nini cha kufanya.Haiwezekani pesa inachukuliwa chukuliwa ovyo ovyo kwa maamuzi ya wachache bila bunge kuidhinisha?
I don't buy this idea at all unless otherwise.Ila siwalazimishi kugoma kama Mnataka endeleeni tu kuunga mkono na mtakuwa mkifanya hivyo kuongeza kiwango ya umasikini mlionao..
hivi tenga kabla ya TFF alikuwa anafanya kazi wapi?i need to know sababu naona akili yake inakwenda tenge.
Nipo na wachungaji tunawaombea .Gharama za zimbabwe hizi hapa chini
The Zimbabwe Football Association (Zifa) chief executive officer Henrieeta Rushwaya said it will cost a modest US$ 10 to watch the high profile international friendly match on Wednesday. However the VIP seats will cost US$ 40 and US$60.
The Zimbabwe National Soccer Supporters Association president Eddie Nyatanga confirmed they had a tough time convincing both Zifa and the Zimbabwe Tourism Authourity that the match should have a lower gate charge.
The Ministry of Tourism and Hospitality said the government was hoping to recoup some of the money they spent in bringing Brazil and were expecting a full house in the 60 000 seater National Sports Stadium. It is believed it will cost Zimbabwe US$ 1,8 million to bring the Brazil team.The government will foot 45 percent of the expenses while Zimplats, NetOne and CBZ Bank will pay part of the bill.
Source:RadioVop Zimbabwe: Zimbabwe latest news | Zimbabwe news | Zimbabwe situation | Zimbabwe online | Zimbabwe daily news | Your gateway to Zimbabwe news - Zimbabwe-Brazil Match One Of The Cheapest