Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Fide nifanyie na mimi mpango basi...............lol!!
Usijali wewe unataka utoke na nani Kaka au Lucio? Napokea booking zenu.
Fide nifanyie na mimi mpango basi...............lol!!
you are too later brother to organise your movement...kutofahamu kwako kuwa umeshachelewa ndo the most pathetic thinking kuliko zote. kutojua kuwa hicho kitu hakiwezekani ndo ajabu kubwa...usichangie mawazo yasiyowezekana, jaribu kuchangia kitu unachofikiri kinawezekana kwa watz hasa ktk mechi hii, ikipita hii mechi ndo uanze mawazo yako ya kitabu cha kusadikika.
hahahaha!Usijali wewe unataka utoke na nani Kaka au Lucio? Napokea booking zenu.
Usijali wewe unataka utoke na nani Kaka au Lucio? Napokea booking zenu.
hahahaha!
huyo mpatie LUIS FABIANO
Mechi ni June 6, sasa too late inakuwaje?
Mimi naongea na individuals ambao wanafanya maamuzi ya kwenda au kutoenda, sasa utasemaje niko too late?
Kuna watu wanaangalia hii debate kabla hawajanunua tiketi, na debate hii ina wa inform kuhusu wanunue au wasinunue tiketi.Sasa utasemaje niko too late.
Na mtu anayeongelea principle hawezi kuwa too late, principles fulani, kama fiscal responsibility hubakia vile vile, whether event imepita au la.
Na always kuna somo la kujifunza kutoka principles, hata kama event imepita, unaweza kutumia principles hizi kuzuia kurudia incident.
Hapa naona wabongo wanaenda na "mob psychology". Nina hakika hata kwenye uchaguzi watapiga kura hivi hivi na "mob psychology". Nitapigia kura chama fulani kwa sababu nisipopigia jirani yangu atakipigia.
Hatuna personal responsibility.
Kwanza kabisa napenda kuchukua fursa hii kuipongeza serikali kwa juhudi iliyofanya kuhakikisha kuwa Brazil wanakuja bongo kutupa raha ili tusahau machungu ya maisha makali.Lakini kwa upande mwingine nimeshtushwa na viingilio kuwa vikubwa sana kuzidi uwezo wangu na nisingependa kuikosa historia hii.Sasa basi ombi langu ni toa ndugu ili angalau nipate laki na nusu za kutizama mechi hiyo.
Mchumba wangu Krispin hana uwezo wakutosha kwani anabeba mizigo(sio maboksi jamani) na isitoshe yeye priority yake kubwa ni therengeti therengetiiiiii na chui!!!!
Nimeweka kwenye jukwaa hili la mahusiano kwa vile najua mna upendo sana na hamtanipotezea wala kunidiskaregi kwa namna yoyote.
Natumaini nitapata wafadhari wa kunipeleka kuona pambano na ikizingatiwa kuwa sijawahi kuingia Neshno stadium na hii itakuwa bonge la chansi kwangu.
Mwisho kabisa natanguliza shukurani za dhati kwa wapwaz na mabinamuz Geoff,bht,Nguli,Nyamayao,FL1,Balantanda,Fidel,Kaizer,mchumba na wengine woooote.......(i know you will not let me down).
Asanteni.
Mechi ni June 6, sasa too late inakuwaje?
Mimi naongea na individuals ambao wanafanya maamuzi ya kwenda au kutoenda, sasa utasemaje niko too late?
Kuna watu wanaangalia hii debate kabla hawajanunua tiketi, na debate hii ina wa inform kuhusu wanunue au wasinunue tiketi.Sasa utasemaje niko too late.
Na mtu anayeongelea principle hawezi kuwa too late, principles fulani, kama fiscal responsibility hubakia vile vile, whether event imepita au la.
Na always kuna somo la kujifunza kutoka principles, hata kama event imepita, unaweza kutumia principles hizi kuzuia kurudia incident.
Hapa naona wabongo wanaenda na "mob psychology". Nina hakika hata kwenye uchaguzi watapiga kura hivi hivi na "mob psychology". Nitapigia kura chama fulani kwa sababu nisipopigia jirani yangu atakipigia.
Hatuna personal responsibility.
Kiranga,
Ni watu angapi watakao fanya maamuzi yao kupitia kwa maoni yanayotolewa kwenye hii post, kwa hizi siku sita au saba zilizobaki? Katika watazamaji elfu sitini, wangapi wataguswa na maoni haya? Kwahiyo kutoa hamasa ya watu wasusie hii mechi katika thread ya mwenzako, ni kuwa na kimbelembele tu. Anzisha thread ya kwako labda yenye kichwa "Wanajamii wasusie mechi ya Stars na brazil". Kwa taarifa tu ni kuwa, makampuni mengi yameshajitokeza kununua tiketi nyingi kwa ajili ya kuzitoa kwa wadau wao mbalimbali. Hivyo, hiyo mechi itafanyika tu, na uwezekano wa watu kufurika ni mkubwa sana. na hakuna kitu cha Mob psychology hapo.
Pia kumkejeli mwanzisha thread, eti analeta umasikini wake kwenye forum wakati uwezo hana, ni kukosa adabu na ufinyu wa fikra. Kwa mtazamo wako, hata kama kweli unataka kumsaidia kumlipia kiingilio hicho, utampataje huyo Charity?
Kwanza kabisa napenda kuchukua fursa hii kuipongeza serikali kwa juhudi iliyofanya kuhakikisha kuwa Brazil wanakuja bongo kutupa raha ili tusahau machungu ya maisha makali.Lakini kwa upande mwingine nimeshtushwa na viingilio kuwa vikubwa sana kuzidi uwezo wangu na nisingependa kuikosa historia hii.Sasa basi ombi langu ni toa ndugu ili angalau nipate laki na nusu za kutizama mechi hiyo.
Mchumba wangu Krispin hana uwezo wakutosha kwani anabeba mizigo(sio maboksi jamani) na isitoshe yeye priority yake kubwa ni therengeti therengetiiiiii na chui!!!!
Nimeweka kwenye jukwaa hili la mahusiano kwa vile najua mna upendo sana na hamtanipotezea wala kunidiskaregi kwa namna yoyote.
Natumaini nitapata wafadhari wa kunipeleka kuona pambano na ikizingatiwa kuwa sijawahi kuingia Neshno stadium na hii itakuwa bonge la chansi kwangu.
Mwisho kabisa natanguliza shukurani za dhati kwa wapwaz na mabinamuz Geoff,bht,Nguli,Nyamayao,FL1,Balantanda,Fidel,Kaizer,mchumba na wengine woooote.......(i know you will not let me down).
Asanteni.
unafikiri kama watu wote hapa jf hawatenda kwasababu ya kusikia wito wako, uwanja hautajaa? mbona wachache sana wanaenda kuangalia huu mpira hata hapa jf....wengine hawako Dar, wengine hawako tz just a handful of people ndo wataenda...so strategy yako ni mfu/dead...tafuta ingine.
You are missing the point.
Point si uwanja usijae, ni mtu anayekuja na mentality ya "nisipoenda mimi jirani yangu ataenda" ndiye anayeweza kuja na swala la uwanja kujaa.
Hapa tunaongelea kuchukua msimamo wa ku register kwamba hatutaki kushiriki katika upuuzi huu.
Unachosema wewe ni sawa na kusema kwamba, Muislam ambaye anaamini nguruwe ni haram, akisikia kuna karamu ya kula nyama ya nguruwe, aende kula kwa sababu hata asipoenda karamu itajaa watu. Hii thinking ni potofu.Kama wewe ni muislam halisi, hutajali kama karamu ya nguruwe itajaa watu au la, wewe utajali principles zako tu kama muislam.
Vivyo hivyo, hii mechi ni kama karamu ya kula nguruwe, kushiriki katika kitu ambacho mtu yeyote anayepinga matumizi mabaya ya fedha za umma ni haramu bila kujali kwamba wengine wanashiriki au hawashiriki.
Ukienda kuangalia mechi hii huna moral authority ya kuishambulia serikali kwa kuileta Brazil. You cannot eat your cake and have it too.
Either una maintain moral authority kwa kutokwenda kuangalia mechi, na kutoka hapo unaweza kuishambulia serikali.
Au unaungana na serikali katika upuuzi huu, kwa kwenda kuangalia hii mechi, na kupoteza moral authority yote ya kuishambulia serikali katika hili.
Kiranga,
Ni watu angapi watakao fanya maamuzi yao kupitia kwa maoni yanayotolewa kwenye hii post, kwa hizi siku sita au saba zilizobaki? Katika watazamaji elfu sitini, wangapi wataguswa na maoni haya? Kwahiyo kutoa hamasa ya watu wasusie hii mechi katika thread ya mwenzako, ni kuwa na kimbelembele tu. Anzisha thread ya kwako labda yenye kichwa "Wanajamii wasusie mechi ya Stars na brazil". Kwa taarifa tu ni kuwa, makampuni mengi yameshajitokeza kununua tiketi nyingi kwa ajili ya kuzitoa kwa wadau wao mbalimbali. Hivyo, hiyo mechi itafanyika tu, na uwezekano wa watu kufurika ni mkubwa sana. na hakuna kitu cha Mob psychology hapo.
Pia kumkejeli mwanzisha thread, eti analeta umasikini wake kwenye forum wakati uwezo hana, ni kukosa adabu na ufinyu wa fikra. Kwa mtazamo wako, hata kama kweli unataka kumsaidia kumlipia kiingilio hicho, utampataje huyo Charity?
wewe unatakiwa kubishana peke yako, kwasababu mgumu kuelewa...sipotezi muda tena kukuelewesha.
kombe la mbio za mbuzi eeh??kama mtu anayo hio ticket ampe dada charity,kama hauna tafadhali songa mbele...hatuhitaji kusoma mashudu yenu mareeeeeeefu...lol
Wewe nani mpaka upange sheria hapa JF?
Hebu soma motto hapo juu "JamiiForums, Where We Dare To Talk Openly"
Hiyo inajumuisha kukemea ombaomba, kukemea watu wanaotaka kuishi kwa anasa wasizoziweza, kukemea matumizi mabaya ya hela za umma, na kukemea umangimeza wa kutaka kuwafunga midomo watu wanaotaka kujieleza.
Wewe unatetea uomba omba, unatetea matumizi mabaya ya fedha za umma, unatetea watu wanaotaka kuishi kwa anasa wasizoziweza na unaleta umangimeza wa kutaka kuwafunga midomo members za JF.
Halafu kesho keshokutwa tunakuja kujibaraguza hapo kukemea ufisadi wakati kwenda kwenye hii mechi ni kufanikisha ufisadi.