Harambee: Kuiona Mechi ya Brazil na Taifa stars

you are too later brother to organise your movement...kutofahamu kwako kuwa umeshachelewa ndo the most pathetic thinking kuliko zote. kutojua kuwa hicho kitu hakiwezekani ndo ajabu kubwa...usichangie mawazo yasiyowezekana, jaribu kuchangia kitu unachofikiri kinawezekana kwa watz hasa ktk mechi hii, ikipita hii mechi ndo uanze mawazo yako ya kitabu cha kusadikika.

Mechi ni June 6, sasa too late inakuwaje?

Mimi naongea na individuals ambao wanafanya maamuzi ya kwenda au kutoenda, sasa utasemaje niko too late?

Kuna watu wanaangalia hii debate kabla hawajanunua tiketi, na debate hii ina wa inform kuhusu wanunue au wasinunue tiketi.Sasa utasemaje niko too late.

Na mtu anayeongelea principle hawezi kuwa too late, principles fulani, kama fiscal responsibility hubakia vile vile, whether event imepita au la.

Na always kuna somo la kujifunza kutoka principles, hata kama event imepita, unaweza kutumia principles hizi kuzuia kurudia incident.

Hapa naona wabongo wanaenda na "mob psychology". Nina hakika hata kwenye uchaguzi watapiga kura hivi hivi na "mob psychology". Nitapigia kura chama fulani kwa sababu nisipopigia jirani yangu atakipigia.

Hatuna personal responsibility.
 
Usijali wewe unataka utoke na nani Kaka au Lucio? Napokea booking zenu.

Hahhaaaaa mpwaz sasa mbona unanitisha kumbe wewe ni agent tena??
mi nlidhani out of kujuana na washikaji wa Brazil ndo uta ni hook up??
 
Mechi ni June 6, sasa too late inakuwaje?

Mimi naongea na individuals ambao wanafanya maamuzi ya kwenda au kutoenda, sasa utasemaje niko too late?

Kuna watu wanaangalia hii debate kabla hawajanunua tiketi, na debate hii ina wa inform kuhusu wanunue au wasinunue tiketi.Sasa utasemaje niko too late.

Na mtu anayeongelea principle hawezi kuwa too late, principles fulani, kama fiscal responsibility hubakia vile vile, whether event imepita au la.

Na always kuna somo la kujifunza kutoka principles, hata kama event imepita, unaweza kutumia principles hizi kuzuia kurudia incident.

Hapa naona wabongo wanaenda na "mob psychology". Nina hakika hata kwenye uchaguzi watapiga kura hivi hivi na "mob psychology". Nitapigia kura chama fulani kwa sababu nisipopigia jirani yangu atakipigia.

Hatuna personal responsibility.

unafikiri kama watu wote hapa jf hawatenda kwasababu ya kusikia wito wako, uwanja hautajaa? mbona wachache sana wanaenda kuangalia huu mpira hata hapa jf....wengine hawako Dar, wengine hawako tz just a handful of people ndo wataenda...so strategy yako ni mfu/dead...tafuta ingine.
 
Kwanza kabisa napenda kuchukua fursa hii kuipongeza serikali kwa juhudi iliyofanya kuhakikisha kuwa Brazil wanakuja bongo kutupa raha ili tusahau machungu ya maisha makali.Lakini kwa upande mwingine nimeshtushwa na viingilio kuwa vikubwa sana kuzidi uwezo wangu na nisingependa kuikosa historia hii.Sasa basi ombi langu ni toa ndugu ili angalau nipate laki na nusu za kutizama mechi hiyo.
Mchumba wangu Krispin hana uwezo wakutosha kwani anabeba mizigo(sio maboksi jamani) na isitoshe yeye priority yake kubwa ni therengeti therengetiiiiii na chui!!!!
Nimeweka kwenye jukwaa hili la mahusiano kwa vile najua mna upendo sana na hamtanipotezea wala kunidiskaregi kwa namna yoyote.
Natumaini nitapata wafadhari wa kunipeleka kuona pambano na ikizingatiwa kuwa sijawahi kuingia Neshno stadium na hii itakuwa bonge la chansi kwangu.
Mwisho kabisa natanguliza shukurani za dhati kwa wapwaz na mabinamuz Geoff,bht,Nguli,Nyamayao,FL1,Balantanda,Fidel,Kaizer,mchumba na wengine woooote.......(i know you will not let me down).
Asanteni.

Charity nilikuwa mkoa kwenye kugawa neti zilizotolewa na ccm za mpango wa kupambana na malaria kwa watoto chini ya miaka mitano...sasa nimerudi samahani kwa kuchelewa kuona threads yako ila sijachelewa wakati nasoma hii thread amepita mzungu bosi wangu hapa amekupenda kwanza ulivyo natural kuanzia sur na maneno yako! ila yeye sharti ni moja atapenda kwenda na wewe kuangalia hiyo mechi mengine mtakubaliana wenyewe ameuliza eti umeolewa...sijui shonga ndio kashazimika please nijibu....
 
Mimi ningetoa mkwanja wote kabisa (200,000) lakini tiefuefu wamedai tiketi za laki 2 zimeshaisha.....
 
Mechi ni June 6, sasa too late inakuwaje?

Mimi naongea na individuals ambao wanafanya maamuzi ya kwenda au kutoenda, sasa utasemaje niko too late?

Kuna watu wanaangalia hii debate kabla hawajanunua tiketi, na debate hii ina wa inform kuhusu wanunue au wasinunue tiketi.Sasa utasemaje niko too late.

Na mtu anayeongelea principle hawezi kuwa too late, principles fulani, kama fiscal responsibility hubakia vile vile, whether event imepita au la.

Na always kuna somo la kujifunza kutoka principles, hata kama event imepita, unaweza kutumia principles hizi kuzuia kurudia incident.

Hapa naona wabongo wanaenda na "mob psychology". Nina hakika hata kwenye uchaguzi watapiga kura hivi hivi na "mob psychology". Nitapigia kura chama fulani kwa sababu nisipopigia jirani yangu atakipigia.

Hatuna personal responsibility.

Kiranga,

Ni watu angapi watakao fanya maamuzi yao kupitia kwa maoni yanayotolewa kwenye hii post, kwa hizi siku sita au saba zilizobaki? Katika watazamaji elfu sitini, wangapi wataguswa na maoni haya? Kwahiyo kutoa hamasa ya watu wasusie hii mechi katika thread ya mwenzako, ni kuwa na kimbelembele tu. Anzisha thread ya kwako labda yenye kichwa "Wanajamii wasusie mechi ya Stars na brazil". Kwa taarifa tu ni kuwa, makampuni mengi yameshajitokeza kununua tiketi nyingi kwa ajili ya kuzitoa kwa wadau wao mbalimbali. Hivyo, hiyo mechi itafanyika tu, na uwezekano wa watu kufurika ni mkubwa sana. na hakuna kitu cha Mob psychology hapo.

Pia kumkejeli mwanzisha thread, eti analeta umasikini wake kwenye forum wakati uwezo hana, ni kukosa adabu na ufinyu wa fikra. Kwa mtazamo wako, hata kama kweli unataka kumsaidia kumlipia kiingilio hicho, utampataje huyo Charity?
 
Kiranga,

Ni watu angapi watakao fanya maamuzi yao kupitia kwa maoni yanayotolewa kwenye hii post, kwa hizi siku sita au saba zilizobaki? Katika watazamaji elfu sitini, wangapi wataguswa na maoni haya? Kwahiyo kutoa hamasa ya watu wasusie hii mechi katika thread ya mwenzako, ni kuwa na kimbelembele tu. Anzisha thread ya kwako labda yenye kichwa "Wanajamii wasusie mechi ya Stars na brazil". Kwa taarifa tu ni kuwa, makampuni mengi yameshajitokeza kununua tiketi nyingi kwa ajili ya kuzitoa kwa wadau wao mbalimbali. Hivyo, hiyo mechi itafanyika tu, na uwezekano wa watu kufurika ni mkubwa sana. na hakuna kitu cha Mob psychology hapo.

Pia kumkejeli mwanzisha thread, eti analeta umasikini wake kwenye forum wakati uwezo hana, ni kukosa adabu na ufinyu wa fikra. Kwa mtazamo wako, hata kama kweli unataka kumsaidia kumlipia kiingilio hicho, utampataje huyo Charity?

bora umemwelimisha huyu ndugu, manake ni mgumu sana kuelewa. yupo yupo tu maadamu ametoka na post yeye anafikiri yuko juuuuuu,unajua mtu asiyeelewa huwa hajijui kama haelewi..
 
Kwanza kabisa napenda kuchukua fursa hii kuipongeza serikali kwa juhudi iliyofanya kuhakikisha kuwa Brazil wanakuja bongo kutupa raha ili tusahau machungu ya maisha makali.Lakini kwa upande mwingine nimeshtushwa na viingilio kuwa vikubwa sana kuzidi uwezo wangu na nisingependa kuikosa historia hii.Sasa basi ombi langu ni toa ndugu ili angalau nipate laki na nusu za kutizama mechi hiyo.
Mchumba wangu Krispin hana uwezo wakutosha kwani anabeba mizigo(sio maboksi jamani) na isitoshe yeye priority yake kubwa ni therengeti therengetiiiiii na chui!!!!
Nimeweka kwenye jukwaa hili la mahusiano kwa vile najua mna upendo sana na hamtanipotezea wala kunidiskaregi kwa namna yoyote.
Natumaini nitapata wafadhari wa kunipeleka kuona pambano na ikizingatiwa kuwa sijawahi kuingia Neshno stadium na hii itakuwa bonge la chansi kwangu.
Mwisho kabisa natanguliza shukurani za dhati kwa wapwaz na mabinamuz Geoff,bht,Nguli,Nyamayao,FL1,Balantanda,Fidel,Kaizer,mchumba na wengine woooote.......(i know you will not let me down).
Asanteni.

Mumy kuna Pedeshee mmoja wa hapa mjini, maeneo ya Temeke amekubali kukunulia ticket mbili...ila kuna some strings attached to......tumasharti twa kiutu uzima....atakuM nimempa ID yako ya JF....all the best
 
unafikiri kama watu wote hapa jf hawatenda kwasababu ya kusikia wito wako, uwanja hautajaa? mbona wachache sana wanaenda kuangalia huu mpira hata hapa jf....wengine hawako Dar, wengine hawako tz just a handful of people ndo wataenda...so strategy yako ni mfu/dead...tafuta ingine.

You are missing the point.

Point si uwanja usijae, ni mtu anayekuja na mentality ya "nisipoenda mimi jirani yangu ataenda" ndiye anayeweza kuja na swala la uwanja kujaa.

Hapa tunaongelea kuchukua msimamo wa ku register kwamba hatutaki kushiriki katika upuuzi huu.

Unachosema wewe ni sawa na kusema kwamba, Muislam ambaye anaamini nguruwe ni haram, akisikia kuna karamu ya kula nyama ya nguruwe, aende kula kwa sababu hata asipoenda karamu itajaa watu. Hii thinking ni potofu.Kama wewe ni muislam halisi, hutajali kama karamu ya nguruwe itajaa watu au la, wewe utajali principles zako tu kama muislam.

Vivyo hivyo, hii mechi ni kama karamu ya kula nguruwe, kushiriki katika kitu ambacho mtu yeyote anayepinga matumizi mabaya ya fedha za umma ni haramu bila kujali kwamba wengine wanashiriki au hawashiriki.

Ukienda kuangalia mechi hii huna moral authority ya kuishambulia serikali kwa kuileta Brazil. You cannot eat your cake and have it too.

Either una maintain moral authority kwa kutokwenda kuangalia mechi, na kutoka hapo unaweza kuishambulia serikali.

Au unaungana na serikali katika upuuzi huu, kwa kwenda kuangalia hii mechi, na kupoteza moral authority yote ya kuishambulia serikali katika hili.
 
You are missing the point.

Point si uwanja usijae, ni mtu anayekuja na mentality ya "nisipoenda mimi jirani yangu ataenda" ndiye anayeweza kuja na swala la uwanja kujaa.

Hapa tunaongelea kuchukua msimamo wa ku register kwamba hatutaki kushiriki katika upuuzi huu.

Unachosema wewe ni sawa na kusema kwamba, Muislam ambaye anaamini nguruwe ni haram, akisikia kuna karamu ya kula nyama ya nguruwe, aende kula kwa sababu hata asipoenda karamu itajaa watu. Hii thinking ni potofu.Kama wewe ni muislam halisi, hutajali kama karamu ya nguruwe itajaa watu au la, wewe utajali principles zako tu kama muislam.

Vivyo hivyo, hii mechi ni kama karamu ya kula nguruwe, kushiriki katika kitu ambacho mtu yeyote anayepinga matumizi mabaya ya fedha za umma ni haramu bila kujali kwamba wengine wanashiriki au hawashiriki.

Ukienda kuangalia mechi hii huna moral authority ya kuishambulia serikali kwa kuileta Brazil. You cannot eat your cake and have it too.

Either una maintain moral authority kwa kutokwenda kuangalia mechi, na kutoka hapo unaweza kuishambulia serikali.

Au unaungana na serikali katika upuuzi huu, kwa kwenda kuangalia hii mechi, na kupoteza moral authority yote ya kuishambulia serikali katika hili.

wewe unatakiwa kubishana peke yako, kwasababu mgumu kuelewa...sipotezi muda tena kukuelewesha.
 
Kiranga,

Ni watu angapi watakao fanya maamuzi yao kupitia kwa maoni yanayotolewa kwenye hii post, kwa hizi siku sita au saba zilizobaki? Katika watazamaji elfu sitini, wangapi wataguswa na maoni haya? Kwahiyo kutoa hamasa ya watu wasusie hii mechi katika thread ya mwenzako, ni kuwa na kimbelembele tu. Anzisha thread ya kwako labda yenye kichwa "Wanajamii wasusie mechi ya Stars na brazil". Kwa taarifa tu ni kuwa, makampuni mengi yameshajitokeza kununua tiketi nyingi kwa ajili ya kuzitoa kwa wadau wao mbalimbali. Hivyo, hiyo mechi itafanyika tu, na uwezekano wa watu kufurika ni mkubwa sana. na hakuna kitu cha Mob psychology hapo.

Pia kumkejeli mwanzisha thread, eti analeta umasikini wake kwenye forum wakati uwezo hana, ni kukosa adabu na ufinyu wa fikra. Kwa mtazamo wako, hata kama kweli unataka kumsaidia kumlipia kiingilio hicho, utampataje huyo Charity?

Kwanza hata kama hakutakuwa na mtu hata mmoja atakayefuatilia maoni yangu, bado nitakuwa nishaji express. Na wachunguzi wa miaka ijayo wakija kwenye archives za JF kuchunguza sababu za nchi tajiri kama Tanzania kuwa maskini, wataona kuna mwaka Tanzania iliilipa Brazil kuja kucheza mechi at an astronomical cost, lakini si Watanzania wote walioshabikia upuuzi huo.Kuna wengine walipinga on principles of fiscal responsibility.

Kuhusu mimi kumdhalilisha mtoa maada, anayemdhalilisha kikweli kweli ni wewe unayetaka kum patronize kama mtoto mdogo.Let's call a spade a spade, anataka kuishi beyond her means, na zaidi ya hapo, anataka wenzake waingie gharama za anasa zake zisizo lazima.

This is the short and the long opf it, however you sugar coat it.Tatizo letu wabongo utamaduni wa kuambiana ukweli hatuwezi.

Mtu akisema ukweli mnasema anadhalilisha watu.

Kama huwezi kumudu anasa kwa nini usiishi maiisha yaliyo katika level yako/. Hii ni tamaa.

Unaona sasa Mapedeshee washaanza kuchangamkia offer kwa "masharti ya kikubwa" ?

Halafu nikisema hii lifestyle ina promote Ukimwi naonekana nina stretch mambo.
 
kombe la mbio za mbuzi eeh??kama mtu anayo hio ticket ampe dada charity,kama hauna tafadhali songa mbele...hatuhitaji kusoma mashudu yenu mareeeeeeefu...lol:cool:
 
Best unatuchangisha halafu wataka kukaa VIP B? Bora ungechangisha 30000 ili ukae njano na kwekundu nibgekuelewa. Anyways ukifikisha 140000 ntafute ntakutumia kwa VodaCom M-Pesa toka hapa Nairobi!
 
kombe la mbio za mbuzi eeh??kama mtu anayo hio ticket ampe dada charity,kama hauna tafadhali songa mbele...hatuhitaji kusoma mashudu yenu mareeeeeeefu...lol:cool:

Wewe nani mpaka upange sheria hapa JF?

Hebu soma motto hapo juu "JamiiForums, Where We Dare To Talk Openly"

Hiyo inajumuisha kukemea ombaomba, kukemea watu wanaotaka kuishi kwa anasa wasizoziweza, kukemea matumizi mabaya ya hela za umma, na kukemea umangimeza wa kutaka kuwafunga midomo watu wanaotaka kujieleza.

Wewe unatetea uomba omba, unatetea matumizi mabaya ya fedha za umma, unatetea watu wanaotaka kuishi kwa anasa wasizoziweza na unaleta umangimeza wa kutaka kuwafunga midomo members za JF.

Halafu kesho keshokutwa tunakuja kujibaraguza hapo kukemea ufisadi wakati kwenda kwenye hii mechi ni kufanikisha ufisadi.
 
Wewe nani mpaka upange sheria hapa JF?

Hebu soma motto hapo juu "JamiiForums, Where We Dare To Talk Openly"

Hiyo inajumuisha kukemea ombaomba, kukemea watu wanaotaka kuishi kwa anasa wasizoziweza, kukemea matumizi mabaya ya hela za umma, na kukemea umangimeza wa kutaka kuwafunga midomo watu wanaotaka kujieleza.

Wewe unatetea uomba omba, unatetea matumizi mabaya ya fedha za umma, unatetea watu wanaotaka kuishi kwa anasa wasizoziweza na unaleta umangimeza wa kutaka kuwafunga midomo members za JF.

Halafu kesho keshokutwa tunakuja kujibaraguza hapo kukemea ufisadi wakati kwenda kwenye hii mechi ni kufanikisha ufisadi.

nimeona mara nyingi unapenda mabishano ya kijinga hapa JF,mie hata hunipati kiranga!!jaza mashudu yako ukimaliza tambaa,,,,muda wa kupoteza na wewe hata sinao!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom