Harakati bila mikatati na mbinu dhaifu za Dr Slaa

Dr. Slaa ni mtu makini na dr. wa ukweli aliyebobea, waulize mbona aliwataja walioshiriki kuchakachua matokeo ya udiwani hadi urais wakashindwa kumpeleka mahakamani wakati ni kosa la jinai.

kamuulize hata mzee ruksa/mkapa wanaweza kukwambia kama ww ni mtu wa karibu hali ilivyokuwa na matokeo yalikuwaje

no research no right to speak

nedna kajipange ukiwa na ushahidi ndipo urudi hapa jf, hapa sio jukwaa la udaku
 
Kwenye blue ni mkoa gani Rais ajafika? kwenye red kama Chadema waliyajua hayo yote kwa nini wayakubali matokeo ya Ubunge na Udiwani halafu matokeo ya urais wayakatae?

Wewe huwezi jua mikoa ya Tanzania kwa maana wewe ni wa Republic of Nauru; Hii nauru ndio state nyumba? Baadhi ya mikoa ambayo rais hajathubutu kutembelea wananchi ni Arusha, Mbeya, Manyara, Mwanza, Shinyanga nk. Ukisikia amefika huko si kuongea na wanachi bali kufungua mkutano wa ndani au kuzindua jengo la wawekezaji. Sijawahi kumsikia mkulu akiwashukuru wananchi kwa kumchagua. Kama unao ushahidi kwamba dingi aliwashukuru wapiga kura weka hapa. Chama dhaifu hakiwezi kutoa kiongozi bora; ikitokea ni bora watamhujumu
 
Ndugu wana jamii forum...nakumbuka kwenye mkutano mmoja wa ccm nadhani ilikuwa dodoma.....makamu mwenyekiti wa chama cha magamba aliwahi kutamka kwamba moja ya maadui wakubwa wa ccm ...ni mtandao jamiiforums .....maoni yangu ni kama ifuatavyo

1. Ccm wameamua kuingiza watu wao humu jamii forum ili kuleta hoja za kudhoofisha harakati na upinzani na kuingiza hoja zisizo na maana
2.siku za hivi karibuni nimeona ongezeko la thread nyingi za kuisurpot serikali na kuponda wanaharakati na upinzani pamoja na kuitukukuza na kutetea maovu ya serikali na vyombo vyake

taadhali...hawa watu tuwapuuze na tujue jinsi ya kupingana nao kwa hoja kwa sababj kwenye msafara wa mamba mijusi nayo ipo.

Naomba kuwasilisha
 
Hivi mtu anayedai kutaka kuuawa ni Harakati? mimi nadhani anayetaka kuua ndiye mwenye harakati.. au mimi ndio sielewi kiswahili!
 
Chadema wanasema hawana imani na usalama wa taifa na vyombo vingine vya dola, wakati huo huo wanajiandaa kuchukuwa dola sijui wakifanikiwa kuchukuwa dola wafuasi wa Chadema ndio watakuwa usalama wa taifa.
 
​tatizo lenu watu wa ccm ni akili ndogo kutawala akili kubwa (tumefika hapa tulipo sababu ya udhaifu wa kikwete)kwi kwi kwi
chadema wanasema hawana imani na usalama wa taifa na vyombo vingine vya dola, wakati huo huo wanajiandaa kuchukuwa dola sijui wakifanikiwa kuchukuwa dola wafuasi wa chadema ndio watakuwa usalama wa taifa.
 
Hivi mtu anayedai kutaka kuuawa ni Harakati? mimi nadhani anayetaka kuua ndiye mwenye harakati.. au mimi ndio sielewi kiswahili!

Neno la kutaka kuniua ni zito sana, Slaa anapokataa kutoa maelezeo polisi ili yasaidie kufanya uchunguzi wa tishio hilo la kutaka kuuwa, hizo zinakuwa akili za namna gani mkuu!
 
Neno la kutaka kuniua ni zito sana, Slaa anapokataa kutoa maelezeo polisi ili yasaidie kufanya uchunguzi wa tishio hilo la kutaka kuuwa, hizo zinakuwa akili za namna gani mkuu!
Hata Membe kasema hivyo hivyo, na watu wa karibu na JK wanasema hivyo hivyuo kwamba mkulu hawezi kukaa nchini kwa sababu kuna watu wanataka kumuua na hata siku moja halali Ikulu. Ndio Bongo yetu mkuu wangu kila kitu mahesabu
 
Wewe huwezi jua mikoa ya Tanzania kwa maana wewe ni wa Republic of Nauru; Hii nauru ndio state nyumba? Baadhi ya mikoa ambayo rais hajathubutu kutembelea wananchi ni Arusha, Mbeya, Manyara, Mwanza, Shinyanga nk. Ukisikia amefika huko si kuongea na wanachi bali kufungua mkutano wa ndani au kuzindua jengo la wawekezaji. Sijawahi kumsikia mkulu akiwashukuru wananchi kwa kumchagua. Kama unao ushahidi kwamba dingi aliwashukuru wapiga kura weka hapa. Chama dhaifu hakiwezi kutoa kiongozi bora; ikitokea ni bora watamhujumu

Mkuu JF sio sehemu ya porojo...
Mwenyekiti Mstaafu wa UWT Mkoa wa Shinyanga na mmoja wa waasisi wa CCM Bi. Jennyrose Kigola akimsalimia kwa hisia Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili ikulu ndogo mkoani Shinyanga jana . Kushoto pembeni ya Rais ni mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
rais-kikwete-azindua-kilimo-kwanza-maswa


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa Bodi ya Magavana wa Benki ya Maendeleo ya Afrika. Jengo hili liko nyuma ya jumba la mikutano la AICC jijini Arusha.


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya maaskofu wa kanisa la African Inland Church mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa michezo wa Kirumba ambapo alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe hizo.
 
Zomba ,
Mbona yote Uzinduzi mkuu wangu.. unarudia aloyasema jamaa hapo juu.

Rais Kikwete akiwasalimia wanachama wa CCM baada ya kuwasili jijini Mwanza


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na vijana wa Arusha
 

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na vijana wa Arusha
Bdo yote alikwenda ktk uzinduzi... fuatilia kwa makini wee weka tarehe.. JK hajawahi kwenda mikoani hiyo kutoa shukrani zake kwa wananchi.
 
Bdo yote alikwenda ktk uzinduzi... fuatilia kwa makini wee weka tarehe.. JK hajawahi kwenda mikoani hiyo kutoa shukrani zake kwa wananchi.

Akatoe shukrani za nini? wakati hapo alipo ni 'jasho' lake..
 
Back
Top Bottom