thereitis
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 297
- 41
Mkuu JF sio sehemu ya porojo...
Mwenyekiti Mstaafu wa UWT Mkoa wa Shinyanga na mmoja wa waasisi wa CCM Bi. Jennyrose Kigola akimsalimia kwa hisia Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili ikulu ndogo mkoani Shinyanga jana . Kushoto pembeni ya Rais ni mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa Bodi ya Magavana wa Benki ya Maendeleo ya Afrika. Jengo hili liko nyuma ya jumba la mikutano la AICC jijini Arusha.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya maaskofu wa kanisa la African Inland Church mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa michezo wa Kirumba ambapo alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe hizo.
wewe ndio unaleta porojo. Nionyeshe mahali ambako baba aliwashukuru wananchi kwa kumchagua