Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
taratibu basi pj usiniharibie mambo mengine ni mm na wewe bana,,,niachie mfalme wa amani kwa leo maana umezidi sasa
Hivi hii birthday party leo ni ya kimey au teamo? sielewi elewi hapa
taratibu basi pj usiniharibie mambo mengine ni mm na wewe bana,,,niachie mfalme wa amani kwa leo maana umezidi sasa
endelea na ububu wako niko na mfalme wa amani..........
HAHAHA!
ameanzisha mawasiliano na MTM?...
SEMA KWELI?!...
[/QUOTE]
Mkuu nikudanganye nina raha gani?
Sasa wewe kama unataka kuhakikisha jambo hili, wasiliana na MTM, muulize kuanzia wiki hili atakuwa mkoa gani, na atafikia kwenye chumba cha mtu wa aina gani!...
Mi nakwambia bana ukweli bana!
naona wanoko wamezidi tutamalizana offside
Si umeona eeh!taratibu basi pj usiniharibie mambo mengine ni mm na wewe bana,,,niachie mfalme wa amani kwa leo maana umezidi sasa
Hahah mkuu PJ thanx for ya wishes! Natumaini zawadi zitanifikia! Hahaha hapo ulipoandika na chaki naisubiri!Hi
Mkuu wetu,
Hongera sana kiongozi...Naagiza Voice-Of-Reason moja, bili kwako!
Labda nikutaarifu kuwa Head-Office ya JF iliyopo Arusha imeanzisha utaratibu maalum wa kutuma zawadi kwa wale wote wanaosherehekea siku zao za kuzaliwa!
Zawadi zako nyingi sana zimekabidhiwa kwa m-bidada aliyeleta ujumbe huu jukwaani, (..japokuwa kwa sisi huku huwa HATUMWAMINI KABISA, nina kisa ambacho nitakileta kama thread!)
All in all, enjoy hizo zawadi, na tunategemea feedback!
Thanx Tracy!Happy birthday kimey!may god give you many many more years ahead filled with happiness!
Hili sredi hili linakoelekea....sijuii:coffee:
Nashukuru Mshiki kwa baraka zako!Happy birthrday Kimey,
Mungu akujalie uishi miaka mingi mpaka usahau mwaka na tarehe uliozaliwa.
Hili sredi hili linakoelekea....sijuii:coffee:
Thanx hommie nimeupata ujumbe ntaufanyia kazi!"Huku ninakoishi ni mbali sina ndugu!
Najiona kwamba, niko nyumbani....najiona kwamba, niko nyumbani ee mama....."
Habari yake hommie
Happy besidei ya kuzaliwa bana..
Ujumbe wa leo, "usipoutwanga, utaula mbichi"
Pamoja mpwa!Happy birthday hommie!
Ahsante kwa baraka zako mama wa kwanza!
god bless u .i hope your all wishes may completed ..