Happy birthday kimey!

Aisee Hommie!

Hongera kwa siku ya kuzaliwa.

Sababu nyingine ya kukutana na kujadili mada ya kuzidi kulisogelea kaburi.

Mada: Besidei
Location: JJ pa ukweli
Mgeni rasmi: Kimey
Mdadhili: Big Braza ODM
Mtoa mada: Mjukuu Mtiifu Mj1
Mpanga meza: Vere vere GY
Taxi Driver: Mfalme Wa Amani Teamo TI
Mhesabu bili: Crap The Finest
Mlipa bili: Crapiest Fake Ze BigiiRiita
Wageni waalikwa mabibi na mabwana: MTM, LD, Festiledi, JS, Askofu, Kaizer, Fidel,....

Arusha Wing Nao Mnakaribishwa makao makuu...Mje na Invizibo

Happy Besdei Homu boy!

:clap2::popcorn::roll::tea::laugh::msela::drum::behindsofa::cheer2::lalala::A S-heart-2::A S kiss::bange::violin::peep::emptybath:
MTM kwa kuweka msisitizo ndiye Mtatiro wa meza kwa leo

Hommie Kimey, chukua happy birthday yako kwa raha zako, hongera sana... BTW, una miaka ngapi sasa? tunataka kuchuja nafaka ("under-ages")
 
Happy birthday kiongozi,
Hongera kwa kuzidi kusogeza siku za kuishi!
ubarikiwe sana!!!!
 
Aisee Hommie!

Hongera kwa siku ya kuzaliwa.

Sababu nyingine ya kukutana na kujadili mada ya kuzidi kulisogelea kaburi.

Mada: Besidei
Location: JJ pa ukweli
Mgeni rasmi: Kimey
Mdadhili: Big Braza ODM
Mtoa mada: Mjukuu Mtiifu Mj1
Mpanga meza: Vere vere GY
Taxi Driver: Mfalme Wa Amani Teamo TI
Mhesabu bili: Crap The Finest
Mlipa bili: Crapiest Fake Ze BigiiRiita
Wageni waalikwa mabibi na mabwana: MTM, LD, Festiledi, JS, Askofu, Kaizer, Fidel,....

Arusha Wing Nao Mnakaribishwa makao makuu...Mje na Invizibo

Happy Besdei Homu boy!

:clap2::popcorn::roll::tea::laugh::msela::drum::behindsofa::cheer2::lalala::A S-heart-2::A S kiss::bange::violin::peep::emptybath:
Homu boy mi hapa siongezi kitu ujumbe umefika!
 
MTM kwa kuweka msisitizo ndiye Mtatiro wa meza kwa leo

Hommie Kimey, chukua happy birthday yako kwa raha zako, hongera sana... BTW, una miaka ngapi sasa? tunataka kuchuja nafaka ("under-ages")
Hahaha Thanx hommie kuchuja nafaka muhimu kabsaa!
 
Happy birthday kiongozi,
Hongera kwa kuzidi kusogeza siku za kuishi!
ubarikiwe sana!!!!
Pamoja sana komredi tunasogeza cku za kuishi! Maisha yenyewe ya Dowans cjui ka tutaona vitukuu vyetu!
 
>>>>Happy Birthday my protector......
Me love u lots..........:clap2:
 
Birthday ni nzuri ila watu tunasahau kuwa unaposherehekea b,day inamaana unasherekea siku za kufa kukaribia hahaha

By the way Happy birthday
 
Hongera Kimey...
Hivi umetimiza pipa ngapi za bia? Na debe za valuu?
 
May u get wealthier, Happier and Wiser as u step onto a new age of ur life

hapi besidei tu yu KI! MEY
 
hongera sana mpwa!
hapa nilipo nina hengova ya mchanganyiko wa ballantine,grants,viceroy na MBEGE!hata nimesahau unatimiza maka mingapi

LAKINI POA TU!
HONGERA SANA AU VIPI!...
 
Mkuu Mungu akujalie maisha marefu yenye amani na mafanikio tele,hongera sana kwa zaliko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom