TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Hivi,mpaka mtu ajinadi kwa bendera ya taifa na picha ya Nyerere ndo aaminike??????Doh!Inamaanisha mtu haamini ndani ya nafsi yake kwamba anaweza kusimama peke yake na watu wakamuelewa????Doubts!!!Anguko hilo,kwa watu wanaofikiri vizuri.:violin: