KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Kwanini Naibu Katibu Mkuu wa Visiwani asikaimu nafasi hiyo automatically? Je, Mtatiro ana full authority ya kufanya maamuzi as Katibu Mkuu au ndio ile ya kukaimu jina lakini maelekezo, maagizo na maamuzi yanatoka kwa Maalim?
Yanatoka kwa maalim seif,si hata hii habari ya kuzuia mikutano ya hamad rashid umesikia seif alimuagiza bwana Julius aizuie kwa kutumia jeshi lao la blue guard?ila mimi nashangazwa na ukimya wa mwemyekiti bwana Haruna,mbona yuko kimy kwenye suala nyeti kama hili?kwanini hawakemei maalimu seif,bwana Hamad na bwana Julius kuhusu kwenda public?je ni kweli hana ubavu kwa maalim?