nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,513
- 19,998
kijana acha hizo mbona we ni gwanda damu nakujua...ndio maana daima nasema vyama vya upinzani Tanzania viko kimaslahi binafsi zaidi..! walianza NCCR sasa CUF.! Next time CDM..!
kijana acha hizo mbona we ni gwanda damu nakujua...ndio maana daima nasema vyama vya upinzani Tanzania viko kimaslahi binafsi zaidi..! walianza NCCR sasa CUF.! Next time CDM..!
Pole sana ni wengi wenye mtazamo kama wako, kifupi mimi huwa sitawaliwi na itikadi naangalia haki inapotakiwa itendeke, haki ya mtu haiangalii wewe ni CCM ,Chadema, wala CUF. Kama EL ataonewa nitasema kama Zitto atatetereka nasema kama ninavyosema leo kwa HR, kwa ninavyoifahamu CUF it is just a matter of time HR atakuwa nje ya ulingo. Kuhusu mimi kulipwa for your information EL huwa namuona tu kwenye TV lakini nilimkubali kwenye utendaji wake wakati akiwa PM kwa muda mfupi akaanzisha na kuisimamia project ambayo hadi leo inajulikana kama shule za kata, kifupi alithubutu.
kijana acha hizo mbona we ni gwanda damu nakujua...
HR akija Chadema nahamia CUF rasmi.
Hana kosa lolote sema hawa wakubwa wa vyama huwa hawapendi kuwa challenged kwenye position wanazoshikilia,kama Hamad Rashid yuko right,seif yuko busy na kazi za ikulu,hawezi tena kukitendea haki cuf kwenye hususan kwenye position ya utendaji zaidi kama katibu mkuu,may be angekua mwenyekiti sawasawa lakini sio katibu, cuf kimekua doro, kazi za katibu mkuu zinafanywa na mtoto ambae hana hata miaka mitatu ndani ya cuf japo huyo mtoto sio kiongozi mbaya na anafanya siasa za kisasa lakini bado anatakiwa kuongozwa na wazoefu!na kwa cuf ilivyo Hamad Rashid haswa ndio anapaswa kumrithi seif kutokana na historia yake kwenye chama hicho,HAMAD is right kwenye hili...
Ni wazi kwamba mtatiro ndio anakaimu automatically kutokana na position yake huku bara ambako angalau nako sasa cuf ndio iko hai,zanzibar hakuna upinzani tena!Nimeuliza hili swali mara nyingi sana, kwamba ni nani ambaye amepewa kukaimu nafasi ya Katibu Mkuu? Bahati mbaya sijapata jibu mpaka sasa. Je, unataka kusema huyo mtoto ni Julius Mtatiro? Maana kuna thread moja nilisoma Hamad Rashid akisema Mtatiro ni mtoto mdogo.
Ni wazi kwamba mtatiro ndio anakaimu automatically kutokana na position yake huku bara ambako angalau nako sasa cuf ndio iko hai,zanzibar hakuna upinzani tena!
Well said mchillo and keil, facts speak on themselves. A wise saying has it that failure to adopt flexibility risks breakage! And this is exactly wahat is happening within CUF now. I also concur with he suggestion that Hamad Rashid is more competent than any member within CUF to take the position of Secretery General.Ili kupata majibu ya swali lako, nadhani inabidi twende taratibu ili kuwe na hukumu iliyo ya haki. Mpaka sasa nadhani wengi tunaongea kwa kuwa tumesoma kwenye magazeti stori ya upande mmoja wa Hamad Rashid, hatujasikia upande wa pili wa shilingi ili tuweze ku-balance maelezo.
Sasa ili kuwatendea haki pande zote mbili zinazohusika kuna mambo ambayo yanatakiwa yajulikane:
1. Utaratibu wa kumpata Katibu Mkuu wa CUF ukoje? Je, anagombea au anateuliwa?
2. What if the current Secretary General amepata wadhifa mwingine ambao unamfanya ashindwe kutekeleza majukumu yake ya kila siku, ujazaji nafasi yake unakuwaje? [Maana nimesoma mahali Mtatiro anasema uchaguzi ni 2014, je, chama kibaki bila mtendaji mkuu kwa miaka 3 kusubiri uchaguzi wa ndani wa chama?]
3. Vile vikao vya juu vya chama vinavyofanya maamuzi, huwa vinakutana mara ngapi kwa mwaka? Je, vimekuwa vikikutana regularly? Maana Mwenyekiti hayupo, Katibu Mkuu yuko bize na serikali ya mseto, so, vikao vinasimamiwa nani?
4. Je, Bwana Hamad Rashid ameishapeleka hizo duku duku zake kwenye vikao rasmi vya chama baada ya kuona Mwenyekiti amekaa kimya bila kujibu barua zake?
5. Je, Katiba inasemaje kuhusu namna ya kuitisha vikao vya ngazi za kwenye matawi?
6. Katiba inawatumbua Blue Guards kama ni walinzi wa mali za chama au walinzi wa wanachama na kuzuwia wasifanye vikao?
Kuna mambo mengi sana ambayo hayako sawa na yana ashiria kiza huko mbele ya safari.
Kwa maoni yangu, uongozi wa CUF una matatizo/makosa na Hamad Rashid nae ana makosa, na njia pekee ya kumaliza huo mgogoro ni kupitia vikao rasmi vya chama na siyo kutumia blue guards au mabaunsa wa kukodi.