- Thread starter
- #21
mama BIG ur so fun!:whoo:
U too ma dear
mama BIG ur so fun!:whoo:
Asante sana Ferds nipo na nimejaa tele kama pishi la mchele............ leo mshefa wangu kasafiri
kasafiri! nipitie?
Upitiwa then what.... unajua kunusa chupi wewe? au waweza nusa tigo.... hiyo hegal utaweka wapi
Upitiwa then what.... unajua kunusa chupi wewe? au waweza nusa tigo.... hiyo hegal utaweka wapi
Bacha hata tigo akitaka ni nainama si ndio raha yake jamani
Habari zene waungwana habari za masiku kibao natumai wote jana tulikwenda katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani na pia tulipima afya zetu. Kwa wale wenye maambukizo msijali ni sehemu ya maisha kwani kuishi na virusi sio neno kama utajitambua na kutunza afya yako. Kwa wale wasiokuwa na maambukizo jihadharini na mtunze afya zenu kwani ni zawadi kutoka kwa muumba. Pamoja na yote ninawamiss sana kwani kwa muda sasa nimekuwa na majukumu ya ujenzi wa taifa, lakini cha zaidi nilikuwa nimefichwa kwani huyu baba sasa hataki kunusa chupi tuu anataka na kwapa hivyo kutumia muda mwingi kuwa nae. Leo nashukuru amesafiri hivyo nikaona niwe nanyi.
shangilia yesu analea aaah yesu analea
shangilia yesu analea aaah yesu analea
watoto yesu analeaa aaah yesu analea
wababa yesu analea aah yesu analea
wamama yesu analea aah yesu analeaaaaaaah
Ha! mi chielewi kabicha Ma' big.
Acha kutuibia cheusi na hilo **** unamtamanisha Yesu au? Hawataki makubwa wamehamia kwenye bapa ili waweze kunusa tigo vizuri