Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Ni kweli Halima Mdee na wabunge wote wa Chadema hawakwenda bungeni kuuza sura watazungumza bila uoga wowote na kila kitu kinawekwa wazi,sio sawa na wabunge wa ccm kazi ni kumpongeza raisi mara Mkullo hata wanachokichangia hawajui.Mdee piga kazi Chadema go wananchi tupo nyuma yenu kwa lolote lile