Halima Mchuka hatunae duniani

Dah! Kitambo sana tangu aanze kuumwa hata kabla tbc haijazinduliwa wala dalili ya kuwepo. Ni ngoma imemuondoa hiyo kiarusi wanazuga tu kuna siku ila kitambo sana niliwahi kukutana nae pale dar group hospital. Sisi ni wa Mwenyezi mungu na kwake ndipo marejeo ya viumbe wote.

Inaelekea wewe ni Daktari wake, Asante kwa taarifa!
 
sasa ngoma mbona sio ugonjwa wa ajabu tena,kuan familia gani so far haijawahi kuguswa na ugonjwa huo?no it's like malaria and others,so mshkaji kuvunja ukimya na kutamka bila kuuma maneno inatia moyo kwamba sasa watu tumekubali hili tatizo ni sehemu ya maisha yetu

R.I.P. DA HALIMA.
 
Dah! Kitambo sana tangu aanze kuumwa hata kabla tbc haijazinduliwa wala dalili ya kuwepo. Ni ngoma imemuondoa hiyo kiarusi wanazuga tu kuna siku ila kitambo sana niliwahi kukutana nae pale dar group hospital. Sisi ni wa Mwenyezi mungu na kwake ndipo marejeo ya viumbe wote.

KIPS: Kumbe elimu ya HIV and AIDS bado huijui......Nikuulize swali moja mwenye HIV akiwa anaendesha gari na akapata ajali na kufariki kifo chake kitaandikwa kimesabishwa na nini?
 
Mh kila mtu mashuhuri anapotutoka amekufa kwa ngoma?? hivi ndio ugonjwa huo pekee unaoondoa hawa watu duniani? Tusiwe wepesi wa kutoa judgement. Tumuombee alale pema peponi na sio kuanza mijadala ya kumzushia magonjwa.
 
RIP mama!
Kazi yako imo kwenye kumbukumbu, na kwa hiyo utakumbukwa daima.

betty.jpg
 
Ni pigo na pengo kubwa kwa tasnia ya habari za michezo nchini.

Kwa niaba yangu na JF tunatoa pole kwa ndugu jamaa na marafiki kwa simanzi hii kubwa iliyotukumba.
Mungu awape faraja wafiwa na kumpa rehema ndugu yetu aliyetutangulia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom