Paphilius
Member
- Aug 27, 2023
- 61
- 57
Wana jf habari ya saa hizi. Usiku wa kuamkia alhamisi kama saa nane hivi nilikuwa nasikiliza redio tbc taifa. Kulikuwa na kipindi ambacho binafsi nilikipenda. Kilikuwa kinazungumzia maisha ya mwanamziki okara wa island aliyefariki mwaka huu. Mimi sijui kipindi hicho kinaitwaje na sijui mda wa kuanza. Naomba kama Kuna mtu anafahamu anijuze tafadhali nikipata ratiba nzima ya tbc taifa itakuwa vizuri zaidi. Natanguliza shukrani!!