Kiganyi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,242
- 765
Tundu Lissu alipotukanwa na wabunge wote toka Zanzibar wakati akizungumza kweli mlikuwa na maoni gani kule kwenye mtandao wenu wa Mzalendo zaidi ya kuendeleza matusi??
Nyie wazenj mna akili fupi sana kama maisha ya funza!
Muwe mnawasikiliza vizuri kina Lissu mambo yakifika kombo ndio mnalialia hapa!
Iungeni CDM mkono au endeleeni kutawaliwa na Sultani au Magamba!
Nyie wazenj mna akili fupi sana kama maisha ya funza!
Muwe mnawasikiliza vizuri kina Lissu mambo yakifika kombo ndio mnalialia hapa!
Iungeni CDM mkono au endeleeni kutawaliwa na Sultani au Magamba!