FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,082
- 40,735
Haina mantiki, na hakuna logic yeyote kwa kutoa nafasi za ajira kwa usawa baina ya wanawake na wanaume ilihali mzigo wa kutunza familia pamoja na huyo mwanamke mwenye ni la mwanaume kwa 100%. USHETANI!
Haina mantiki, na hakuna logic yeyote ya kumuongezea mwanaume mzigo wa kulipa house girl wakati mama wa watoto anaepaswa kuwalea yupo, kana kwamba haitoshi, mwanaume inabidi aanze kugombania ajira chache zilizopo na mwanamke, mwanamke ambae tayari anatunzwa na mumewe, hivyo yuko tayari kufanya kwzi ile ile kwa mshahara mdogo zaidi, sababu tayari mume wake analea familia na kumtunza na yeye, hivyo hata akilipwa laki 2 kwa mwezi ni sawa tu, sasa mwanaume hawezi kushindana na mwanamke kwenye soko la ajira! Kumbukeni mwanamke anatafuta pesa ya kubadilisha mawigi na kucha tu, ila a man really needs the money kutunza familia yake! USHETANI!
Kana kwamba haitoshi, tunatoa nafasi za upendeleo kwa wanawake ambao tayari wanatunzwa na waume zao, vipi kuhusu wanaume wanaolipa kodi za nyumba, ada, matubabu, chakula , mavazi nk? Yeye kwanini hapendelewi?
Familia zinavurugika, watoto wanarudi nyumbani kutoka shule hawamkuti mama yao, wanakutana na dada wa kazi, cha maana hakuna, maana mshahara wenyewe unaishia kwenye nauli tu za kwenda na kurudi, jamani, wanawake acheni viherehere, kaeni majumbani mlee watoto wenu.., kuwaacha na wadada ndio mwishowe wanakuwa wahuni. Baba yupo kazini, na wewe upo kazini? Stupid!
Mwisho wa siku na housegirl anakusaidia na kubeba mimba sasa, ndio mkome! Ushetani tu
Haina mantiki, na hakuna logic yeyote ya kumuongezea mwanaume mzigo wa kulipa house girl wakati mama wa watoto anaepaswa kuwalea yupo, kana kwamba haitoshi, mwanaume inabidi aanze kugombania ajira chache zilizopo na mwanamke, mwanamke ambae tayari anatunzwa na mumewe, hivyo yuko tayari kufanya kwzi ile ile kwa mshahara mdogo zaidi, sababu tayari mume wake analea familia na kumtunza na yeye, hivyo hata akilipwa laki 2 kwa mwezi ni sawa tu, sasa mwanaume hawezi kushindana na mwanamke kwenye soko la ajira! Kumbukeni mwanamke anatafuta pesa ya kubadilisha mawigi na kucha tu, ila a man really needs the money kutunza familia yake! USHETANI!
Kana kwamba haitoshi, tunatoa nafasi za upendeleo kwa wanawake ambao tayari wanatunzwa na waume zao, vipi kuhusu wanaume wanaolipa kodi za nyumba, ada, matubabu, chakula , mavazi nk? Yeye kwanini hapendelewi?
Familia zinavurugika, watoto wanarudi nyumbani kutoka shule hawamkuti mama yao, wanakutana na dada wa kazi, cha maana hakuna, maana mshahara wenyewe unaishia kwenye nauli tu za kwenda na kurudi, jamani, wanawake acheni viherehere, kaeni majumbani mlee watoto wenu.., kuwaacha na wadada ndio mwishowe wanakuwa wahuni. Baba yupo kazini, na wewe upo kazini? Stupid!
Mwisho wa siku na housegirl anakusaidia na kubeba mimba sasa, ndio mkome! Ushetani tu