Hakuna 'Baraza Kivuli la Mawaziri' - Wassira

Na mimi nimeangalia kipindi kizima wasira ameidhalilisha serikali kwamba ni kweli serikali yao ni legelege kabisa hakuweza kujibu hoja ila alikurupuja jk tunakushauri toa hawa mawaziri wanakuangamiza kabla ya 2015
<br />
<br />
KIONGOZ WAO MWENYEWE ANATAKIWA AACHIE NGAZI! HAWA WABABU NDO KABISAA WAKALEE WAJUKUU NA KUWAFUNGA PAMPERS HAWANA JIPYA KULALA NA KUKURUPUKA MJENGONI NA KUUNGA MKONO HOJA NDIOOOOOOOOOOOOOOO!
 
Mwita sio hivyo bali kivuli kinasababishwa na kitu kilicho kati ya jua na 'ground', kwa maana hiyo CCM sio jua bali ni kitu kinachozuia mwanga wa jua kufikia ground. Kwa maana ya mtazamo wako, CCM inazuia mwanga halisi wa jua (mwanga=maendeleo, ukweli nk) kufikia 'ground' (wananchi)!
Basi sema wewe ni nini maana ya kivuli. Ninavyojua hata mimi kivuli ni kitu kisichokuwa halisi. Tena huwa hakiwezi kutokea mpaka kuwe na jua. Kwahiyo hapo CCM ndiyo jua halafu inamulika vivuli kama CHADEMA navyo vinatokea.
 
Nafikiri pia inabidi tuwashukuru TBC1 kwa kuwa professional, otherwise wangekatisha matangazo ili kuiokoa serikali dhaifu ya JK isiendelee kudhalilika.

Nafanya mpango tupate clip ya mahojiano hayo.
 
Mwita sio hivyo bali kivuli kinasababishwa na kitu kilicho kati ya jua na 'ground', kwa maana hiyo CCM sio jua bali ni kitu kinachozuia mwanga wa jua kufikia ground. Kwa maana ya mtazamo wako, CCM inazuia mwanga halisi wa jua (mwanga=maendeleo, ukweli nk) kufikia 'ground' (wananchi)!

Huu ndo' ukweli wenyewe...
 
Sasa naanza kuziona busara za Makamba za kuzuia magamba yasishiriki kwenye midahalo na mijadala kwenye television, kumbe anajua uwezo wao wa kufikiri na kujenga hoja, aibu tupu.

Lakini watapata wapi cha kusema na madudu haya wanayofanya?
kweli makamba babu aliona mbali
 
Basi sema wewe ni nini maana ya kivuli. Ninavyojua hata mimi kivuli ni kitu kisichokuwa halisi. Tena huwa hakiwezi kutokea mpaka kuwe na jua. Kwahiyo hapo CCM ndiyo jua halafu inamulika vivuli kama CHADEMA navyo vinatokea.
WASIRA=Binadamu zamadamu= mawazo ya CCM = ZAMADAMU
 
Basi sema wewe ni nini maana ya kivuli. Ninavyojua hata mimi kivuli ni kitu kisichokuwa halisi. Tena huwa hakiwezi kutokea mpaka kuwe na jua. Kwahiyo hapo CCM ndiyo jua halafu inamulika vivuli kama CHADEMA navyo vinatokea.

"Hii ndio serikali yetu na hawa ndio mawaziri wetu" na mimi naongezea "na huyu ndiye mwanachama wa ccm"
 
the shadow cabinet (also called the shadow front bench or shadow ministry) is a senior group of opposition spokespeople in the westminster system of government who together under the leadership of the leader of the opposition form an alternative cabinet to the government's, whose members shadow or mark each individual member of the government. Members of a shadow cabinet are often but not always appointed to a cabinet post if and when their party gets into government. It is the shadow cabinet's responsibility to pass criticism on the current government and its respective legislation, as well as offering alternative policies.

In the united kingdom and canada the major opposition party and specifically its shadow cabinet is often called his or her majesty's loyal opposition.[sup][1][/sup] the adjective "loyal" is used because, while the role of the opposition is to oppose her majesty's government, it does not dispute the sovereign's right to the throne and therefore the legitimacy of the government. However in other countries that use the westminster system (for example, new zealand), the opposition is known simply as the parliamentary opposition instead of shadow.

Some parliamentary parties, notably the british labour party and the australian labor party, elect all the members of their shadow cabinets in a partyroom ballot, with the leader of the opposition then allocating portfolios to the shadow ministers. In other parliamentary parties, the membership and composition of the shadow cabinet is generally determined solely by the leader of the opposition.

In most countries, a member of the shadow cabinet is referred to as a shadow minister. In canada, however, the term opposition critic is more usual.






naona umelizodoa li mwita25 kaufyata..kimyaaaa ngoja aje na misamiati yake uso mzito kama uji wa ulezi
 
wazee kama hawa wameshachoka wakapumzike waachie vijana wanang'ang'ania kama kupe aaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wasira : Chadema wao kila siku kukosoa tu serikali, haiwezekani toka Januari mpaka sasa kuwe hakuna kizuri kilichofanywa na serikali
Mbowe : Muda tulionao bungeni kama wabunge ni mdogo sana, hautoshi, hivyo tunautumia muda huo kukosoa serikali pale tunapoona panahitaji marekebisho ili kupata kilicho bora kwa ajili ya wananchi, badala ya kutumia muda huo kusifu kitu ambacho tayari ni kizuri

NIMELIPENDA SANA JIBU LA MH.MBOWE
 
hivi hicho kipindi kilikuwa ni saa ngapi? maana kama kilikuwa asubuhi sana tunamjua babu yetu alivyo....!
 
Hili jamaa hivi linafikiri hii nchi ni ya CCM na wanachama wake wa aina ya wassira, sijaona waziri pumbavu kama huyu, kesha zeeka
kwanza aache vijana waifanyie kazi nchi yao, mm nimemuona asubuhi sikuamini kama ni lenyewe ndio linaongea hivo, kweli toto
 
Back
Top Bottom