TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,945
- 11,342
Guys,
yaani kuanzia jana hadi leo hapa dar naona hali si mchezo... hii mvua inafanya navusha sana mida hii!!!
nikiangalia nje ndio usiseme, nikicheki manyunyu na madimbwi ndiyo haswaaaaa.... yaani nakumbukia mengi kuanzia high school hadi leo, all the crazy and magic moments, nice coffee, gari kutumukia kwenye dimbwi, romantic moment mida ya mchana :A S clock:... balaa tupu
wewe unaiskiliziaje hali ya kiwinta na mvua?
yaani kuanzia jana hadi leo hapa dar naona hali si mchezo... hii mvua inafanya navusha sana mida hii!!!
nikiangalia nje ndio usiseme, nikicheki manyunyu na madimbwi ndiyo haswaaaaa.... yaani nakumbukia mengi kuanzia high school hadi leo, all the crazy and magic moments, nice coffee, gari kutumukia kwenye dimbwi, romantic moment mida ya mchana :A S clock:... balaa tupu
wewe unaiskiliziaje hali ya kiwinta na mvua?