Haka kamvua na kiwinta vinakukumbusha nini?

TIMING

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
24,846
11,210
Guys,

yaani kuanzia jana hadi leo hapa dar naona hali si mchezo... hii mvua inafanya navusha sana mida hii!!!

nikiangalia nje ndio usiseme, nikicheki manyunyu na madimbwi ndiyo haswaaaaa.... yaani nakumbukia mengi kuanzia high school hadi leo, all the crazy and magic moments, nice coffee, gari kutumukia kwenye dimbwi, romantic moment mida ya mchana :A S clock:... balaa tupu

wewe unaiskiliziaje hali ya kiwinta na mvua?
 
Tehe tehe inanikumbusha wakati niko darasa la pili miaka ya 80 mwanzoni pale Sumbawanga, mvua ilikuwa ikinyesha mwalimu wetu wa Mwandiko alipenda sana kutuambia tuunganishe madawati, yaani rows zote tatu tunaziunganisha tunakuwa tumekaa km kwenye fremu moja mithili ya yale ma benchi marefu ya kanisani. Niliipenda sana style hiyo sababu upande wa kulia kwangu walikuwa wanakaa wasicha watupu watatu, nawakumbuka wawili, mmoja alikuwa akiitwa LILIAN, Mwingine MONICA, acha bana walikuwa watoto wazuri ajabu (tehetehetehe). ile tukiunganisha madawati tu wananiweka katikati yao, basi kale kajoto na kule kunifinya finya mara wanitekenye daaaaaaaaaaaaah niliipenda sana ile style. walikuwa marafiki zangu wakubwa sana tukitaniana sana, lkn wao hawakujua kwamba nilikuwa nawahusudu mbaya!! ingawa nilikuwa na oly 8 yrs hahahahahah mpaka leo nawakumbuka. Huyu Monica alikuwa mweupe kama papai ana meno meupeeee, dimpo za kufa mtu na nywele ndefu akisuka only twende kilioni wakati ule kulikuwa hakuna kulemba. Huyu LILIAN alikuwa ana weusi wa NYOKA, ana ng'aa balaa halafu alikuwa ana kaalama shavuni hivi ka duara. Nilipenda kuwaita wachumba zangu lkn bahati mbaya tulikuwa bado watoto wadogo sana. Baadaye darasa la tatu nilihama mkoa. Kila mvua inyeshapo na kiubaridi kama hiki sichelei kuwakumbuka hawa friends wangu!!!!
 
Tehe tehe inanikumbusha wakati niko darasa la pili miaka ya 80 mwanzoni pale Sumbawanga, mvua ilikuwa ikinyesha mwalimu wetu wa Mwandiko alipenda sana kutuambia tuunganishe madawati, yaani rows zote tatu tunaziunganisha tunakuwa tumekaa km kwenye fremu moja mithili ya yale ma benchi marefu ya kanisani. Niliipenda sana style hiyo sababu upande wa kulia kwangu walikuwa wanakaa wasicha watupu watatu, nawakumbuka wawili, mmoja alikuwa akiitwa LILIAN, Mwingine MONICA, acha bana walikuwa watoto wazuri ajabu (tehetehetehe). ile tukiunganisha madawati tu wananiweka katikati yao, basi kale kajoto na kule kunifinya finya mara wanitekenye daaaaaaaaaaaaah niliipenda sana ile style. walikuwa marafiki zangu wakubwa sana tukitaniana sana, lkn wao hawakujua kwamba nilikuwa nawahusudu mbaya!! ingawa nilikuwa na oly 8 yrs hahahahahah mpaka leo nawakumbuka. Huyu Monica alikuwa mweupe kama papai ana meno meupeeee, dimpo za kufa mtu na nywele ndefu akisuka only twende kilioni wakati ule kulikuwa hakuna kulemba. Huyu LILIAN alikuwa ana weusi wa NYOKA, ana ng'aa balaa halafu alikuwa ana kaalama shavuni hivi ka duara. Nilipenda kuwaita wachumba zangu lkn bahati mbaya tulikuwa bado watoto wadogo sana. Baadaye darasa la tatu nilihama mkoa. Kila mvua inyeshapo na kiubaridi kama hiki sichelei kuwakumbuka hawa friends wangu!!!!

duh we kiboko...kama darasa la pili umeshaanza kutaka vijoto vya wadada.....mkuu unatisha
 
-kiatu imeisha soli hadi kutoboka, then unatakiwa kwenda mahali kwa mguu!...complete mess!
-then ukifika sehemu unatakiwa uvue kiatu ndo uingie ndani (kwa watu!:angry:)...utatamani iwe mwisho wa dunia!
 
Tehe tehe inanikumbusha wakati niko darasa la pili miaka ya 80 mwanzoni pale Sumbawanga, mvua ilikuwa ikinyesha mwalimu wetu wa Mwandiko alipenda sana kutuambia tuunganishe madawati, yaani rows zote tatu tunaziunganisha tunakuwa tumekaa km kwenye fremu moja mithili ya yale ma benchi marefu ya kanisani. Niliipenda sana style hiyo sababu upande wa kulia kwangu walikuwa wanakaa wasicha watupu watatu, nawakumbuka wawili, mmoja alikuwa akiitwa LILIAN, Mwingine MONICA, acha bana walikuwa watoto wazuri ajabu (tehetehetehe). ile tukiunganisha madawati tu wananiweka katikati yao, basi kale kajoto na kule kunifinya finya mara wanitekenye daaaaaaaaaaaaah niliipenda sana ile style. walikuwa marafiki zangu wakubwa sana tukitaniana sana, lkn wao hawakujua kwamba nilikuwa nawahusudu mbaya!! ingawa nilikuwa na oly 8 yrs hahahahahah mpaka leo nawakumbuka. Huyu Monica alikuwa mweupe kama papai ana meno meupeeee, dimpo za kufa mtu na nywele ndefu akisuka only twende kilioni wakati ule kulikuwa hakuna kulemba. Huyu LILIAN alikuwa ana weusi wa NYOKA, ana ng'aa balaa halafu alikuwa ana kaalama shavuni hivi ka duara. Nilipenda kuwaita wachumba zangu lkn bahati mbaya tulikuwa bado watoto wadogo sana. Baadaye darasa la tatu nilihama mkoa. Kila mvua inyeshapo na kiubaridi kama hiki sichelei kuwakumbuka hawa friends wangu!!!!


duh... mkuu yaani la pili tayari ulishaanza kuangalia ndito? kweli kilimo ni asili yetu watanzania
 
Tehe tehe inanikumbusha wakati niko darasa la pili miaka ya 80 mwanzoni pale Sumbawanga, mvua ilikuwa ikinyesha mwalimu wetu wa Mwandiko alipenda sana kutuambia tuunganishe madawati, yaani rows zote tatu tunaziunganisha tunakuwa tumekaa km kwenye fremu moja mithili ya yale ma benchi marefu ya kanisani. Niliipenda sana style hiyo sababu upande wa kulia kwangu walikuwa wanakaa wasicha watupu watatu, nawakumbuka wawili, mmoja alikuwa akiitwa LILIAN, Mwingine MONICA, acha bana walikuwa watoto wazuri ajabu (tehetehetehe). ile tukiunganisha madawati tu wananiweka katikati yao, basi kale kajoto na kule kunifinya finya mara wanitekenye daaaaaaaaaaaaah niliipenda sana ile style. walikuwa marafiki zangu wakubwa sana tukitaniana sana, lkn wao hawakujua kwamba nilikuwa nawahusudu mbaya!! ingawa nilikuwa na oly 8 yrs hahahahahah mpaka leo nawakumbuka. Huyu Monica alikuwa mweupe kama papai ana meno meupeeee, dimpo za kufa mtu na nywele ndefu akisuka only twende kilioni wakati ule kulikuwa hakuna kulemba. Huyu LILIAN alikuwa ana weusi wa NYOKA, ana ng'aa balaa halafu alikuwa ana kaalama shavuni hivi ka duara. Nilipenda kuwaita wachumba zangu lkn bahati mbaya tulikuwa bado watoto wadogo sana. Baadaye darasa la tatu nilihama mkoa. Kila mvua inyeshapo na kiubaridi kama hiki sichelei kuwakumbuka hawa friends wangu!!!!

Safi sana dah unakumbukumbu nzuri sana at only 8 thats good.
 
-kiatu imeisha soli hadi kutoboka, then unatakiwa kwenda mahali kwa mguu!...complete mess!
-then ukifika sehemu unatakiwa uvue kiatu ndo uingie ndani (kwa watu!:angry:)...utatamani iwe mwisho wa dunia!
mkuu kuna zile raba mtoni unacheza nazo kwenye mvua sasa ukikaribia homu ndio soo maana masoksi na viatu vimeloa chapachapa na ule mlio wake ule, na kesho lazma uvivae tena, si harufu hiyo
 
Now let me tell you one story;

wakati nipo college..there was a day mvua ilipiga kwa zaidi ya saa sita nzima, nikawa nimeomba brach [by then] ajongee tupate japo kongoro! i waited for hours kumbe alikwama kutokana na foleni, i can tell they were the longest hour i experienced as everything was conducive except the tool
 
nakumbuka wakati wa mvua ya elnino wakati huo nikiwa nasoma form one huko kijijini, hamna usafiri hivo unatembea mwendo mrefu kwenda shule huku unanyeshewa mvua
 
Dah haka kabaridi balaa.Nimejaribu kutafuta kazi za uswazi zote zinanambia zipo busy.Nimeamua nijikunyate huku nikinywa chai kila baada ya saa maana winter linanikumbusha USALULE hili.
 
Back
Top Bottom