Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
duh... mkuu yaani la pili tayari ulishaanza kuangalia ndito? kweli kilimo ni asili yetu watanzania
Nadhani ni majaliwa yake mola, kweli hisia zilikwepo ingawa vitendo ilikuwa bado lkn i was just feeling it, na si mie tu kuna jamaa yangu mmoja nilikuwa namsindikiza eti anamfukuzia mtoto wa mbunge wa KWERA (Mzi...kaya) sasa hivi yule dada nasikia yupo ulaya. dah na kenyewe kalikuwa ka sweet, sa tukiwa na miaka nane hapooooo hahahahahahahahahahahahahahah