masterplanner
JF-Expert Member
- Oct 23, 2015
- 226
- 266
Kinachosikitisha zaidi hakuna anayejali. Yaan Kama hakuna tatizo linaloendelea.
Hi ilikuwa kauli ya Makamba mara tu Baada ya kupewa uwaziri wa NishatiTatizo serikali ya awamu ya tano ilikuwa haifanyi service mitambo
Wakati wa Magu hawa wauni aliwadhibiti kwa kiasi tukasahau mgao.
Swali lako linajibiwa na jibu hili kwamba nchi haikuwahi kuwa na rais mwanamke ila sasa.Hii nchi Sasa inapoelekea ni pabaya, Toka Awamu ya Mkapa, haijawaji kutokea Mgao mkali wa Umeme kama huu Awamu hii inayoitwa ya sita, Mgao ambao umedumu zaidi ya Mwaka Mmoja.
Hii Serikali Sasa ikibidi tu iwashe mitambo ya kifisadi ya IPTL Kwa maana mtu unawezaje kuvumilia Mgao wa zaidi ya Mwaka Mzima, mvua zinyeshe zisinyeshe Mgao upo pale pale.
Serikali itafute Namna hata kuleta Umeme waafuta watakaoweza wanunue watakaoshindwa wakae Giza.
Awamu hii ya SITA Mimi naiita Awamu ya Giza Totoro, Bodi imevunjwa mara tatu, wakurugenzi wamebadilishwa mara mbili, lakini Mgao ni ule ule
Umemaliza. 🙏🙏😂Upigaji ni matokeo ya ujinga.
Yani unapiga wewe leo, hujui mjukuu wako ataishi kwenye nchi ya aina gani
Upigaji = Ubinafsi = Ujinga.
HahahahaWamekata tayari, jamani noma sana, umeme jana umerudi saa 05pm leo mapema tu wamekata
Sent from my CPH2349 using JamiiForums mobile app
Iwe kama kampuni ya sim walivyofanyaTungeweza kuwaruhusu hawa watu wauze umeme kwenye grid ya taifa ingekuwa vizuri zaidi. Tungewapa watu incentive ya kuweka solar na kuipa TANESCO competition.
Ukiweza kuweka mfumo wa watu binafsi kuuza umeme katika grid ya taifa, utakuwa umetatua tatizo la umeme Tanzania kwa kiasi kikubwa.
Ile kauli yake ilikuja sio kwa bahati mbaya ! Ile kauli ilikuwa ni smoke screen kwa yale yote ambayo yangefuata kama tunavyo yashuhudia hivi sasa !!Hi ilikuwa kauli ya Makamba mara tu Baada ya kupewa uwaziri wa Nishati
Aje atuombe radhi Kwa kutudanganya
Awamu ya Nne ilirudi kwa kasi ya 5G !Awamu ya wapigaji na chawa wao
In Polepole words !!🙏🙏Wacha dhambi ya kumuondoa Dr Kalemani imtafune, tulikuwa tumeisha anza kusasahau mambo ya migao.
Selikali imerudishwa kwa wahuni.
Anaharibiwa mtu hapo ili asukumiwe jumba bovu !!Na huku maeneo ya mlimani city, goba hadi mbezi sasa mgao imekuwa kila siku usiku hakuna umeme........sijui kuna nini kinaendelea kwenye hii serikali.
Serikali ya CCM inatuona sisi wananchi ni maboyaNa miezi 6 ilishaisha
Wakaja na blah blah wakadai maji hayaingii bwawani
Maneno maneno mengiii tu
Huu mgawo wanautumia kiupigaji,
Kufanya mauchafu yao tu
Ova
Kwani kuna tatizo?Walimu wamchangia Rais Samia hela ya kuchukulia fomu ya kugombea Urais 2025 .
Pamoja na mvua zote zilizonyesha na kuleta mafuriko, mauaji na watu kukosa makazi lakini swala la umeme limekuwq JIPU ni nini tatizo na tunakwama wapi.Hii nchi Sasa inapoelekea ni pabaya, Toka Awamu ya Mkapa, haijawaji kutokea Mgao mkali wa Umeme kama huu Awamu hii inayoitwa ya sita, Mgao ambao umedumu zaidi ya Mwaka Mmoja.
Hii Serikali Sasa ikibidi tu iwashe mitambo ya kifisadi ya IPTL Kwa maana mtu unawezaje kuvumilia Mgao wa zaidi ya Mwaka Mzima, mvua zinyeshe zisinyeshe Mgao upo pale pale.
Serikali itafute Namna hata kuleta Umeme waafuta watakaoweza wanunue watakaoshindwa wakae Giza.
Awamu hii ya SITA Mimi naiita Awamu ya Giza Totoro, Bodi imevunjwa mara tatu, wakurugenzi wamebadilishwa mara mbili, lakini Mgao ni ule ule
Umeme wa maji (Hydro) hautamaliza tatizo la umeme Tanzania, solar power itakumalizia matatizo yako ya umeme wewe na familia yako, sasa Kila mtu ajitetee mwenyewe na kufunga solar tuachane na huu ujinga wa TANESCO na serikali ya CCM, mwaka wa tatu huu sijui bill za TANESCO 100%, bongo Kuna jua kuliko mahitajiPamoja na mvua zote zilizonyesha na kuleta mafuriko, mauaji na watu kukosa makazi lakini swala la umeme limekuwq JIPU ni nini tatizo na tunakwama wapi.
Mbona majirani zetu hawana mashida haya.
Wizara husika si mkuje na jawabu mmeshindwa kazi ondokeni.
Figisu tupu!!