std7
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,786
- 2,738
Ukiona kuna mgao wa umeme elewa tu kuna upigaji unafanyika
Si ukoo wa panya upo madarakani una tengeneza matatizo na unakuja na mbinu za kimagumashi za kuyatatua
Kwenye umeme mbinu za kimagumashi zinasema tusubiri miezi sita
Wakati wa Magu hawa wauni aliwadhibiti kwa kiasi tukasahau mgao.
Si ukoo wa panya upo madarakani una tengeneza matatizo na unakuja na mbinu za kimagumashi za kuyatatua
Kwenye umeme mbinu za kimagumashi zinasema tusubiri miezi sita
Wakati wa Magu hawa wauni aliwadhibiti kwa kiasi tukasahau mgao.