Haijawaji kutokea mgao wa umeme mwaka mzima, awamu hii ni kiboko

Hii nchi Sasa inapoelekea ni pabaya, Toka Awamu ya Mkapa, haijawaji kutokea Mgao mkali wa Umeme kama huu Awamu hii inayoitwa ya sita, Mgao ambao umedumu zaidi ya Mwaka Mmoja.

Hii Serikali Sasa ikibidi tu iwashe mitambo ya kifisadi ya IPTL Kwa maana mtu unawezaje kuvumilia Mgao wa zaidi ya Mwaka Mzima, mvua zinyeshe zisinyeshe Mgao upo pale pale.

Serikali itafute Namna hata kuleta Umeme waafuta watakaoweza wanunue watakaoshindwa wakae Giza.

Awamu hii ya SITA Mimi naiita Awamu ya Giza Totoro, Bodi imevunjwa mara tatu, wakurugenzi wamebadilishwa mara mbili, lakini Mgao ni ule ule
Ccm imefeli iondoke, wazalendo Tuanze kuijenga upya nchi yetu
 
Hii nchi Sasa inapoelekea ni pabaya, Toka Awamu ya Mkapa, haijawaji kutokea Mgao mkali wa Umeme kama huu Awamu hii inayoitwa ya sita, Mgao ambao umedumu zaidi ya Mwaka Mmoja.

Hii Serikali Sasa ikibidi tu iwashe mitambo ya kifisadi ya IPTL Kwa maana mtu unawezaje kuvumilia Mgao wa zaidi ya Mwaka Mzima, mvua zinyeshe zisinyeshe Mgao upo pale pale.

Serikali itafute Namna hata kuleta Umeme waafuta watakaoweza wanunue watakaoshindwa wakae Giza.

Awamu hii ya SITA Mimi naiita Awamu ya Giza Totoro, Bodi imevunjwa mara tatu, wakurugenzi wamebadilishwa mara mbili, lakini Mgao ni ule ule
Hivi kuna mgao wa umeme, ninapoishi mkoan kwangu sijawahisikia mgao
 
Tatizo serikali ya awamu ya tano ilikuwa haifanyi service mitambo
And yet umeme ulikuwa haukatiki katiki !
Basi jamaa alikuwa mwamba kweli kweli !
Maana mitambo ilipoanza kufanyiwa matengenezo ndio umeme ukazidi kukatika katika !!
Ni ajabu na kweli kwamba mpaka mitambo ilimuogopa Mwamba mpaka ikawa inakubali kufanya kazi bila hata kufanyiwa matengenezo !! 😂😂🤣

Umetufanya tukumbuke zile pesa zilizokuwa zinabebwa kutoka Benki kwenye masandarusi !!
Escrow tukaambiwa pesa zile sio za Serikali !!
Migao ikaendelea ila mimi sikupata mamilioni ya hela za mboga 😅😅😱

Ndio maana tunaendelea kuzikumbuka zile episode 🙏🙏🙏
 
Hii Awamu kwenye Umeme imefeli, biteko yupo kimya kama hayupo

Unampa Biteko majukumu mawili makubwa kwa Nia gani labda? Nishati +Naibu W/Mkuu ili lengo Liwe nini? Wahuni wanatufyeka Debit collected ya 1,500/- monthly uwe umetumia hujatumia ukinunua tu wanalamba chao kwa lazima. Daaah tutakukumbuka daima chuma cha Chato, lala pema mkuu huna deni unalodaiwa.
 
Hii nchi Sasa inapoelekea ni pabaya, Toka Awamu ya Mkapa, haijawaji kutokea Mgao mkali wa Umeme kama huu Awamu hii inayoitwa ya sita, Mgao ambao umedumu zaidi ya Mwaka Mmoja.

Hii Serikali Sasa ikibidi tu iwashe mitambo ya kifisadi ya IPTL Kwa maana mtu unawezaje kuvumilia Mgao wa zaidi ya Mwaka Mzima, mvua zinyeshe zisinyeshe Mgao upo pale pale.

Serikali itafute Namna hata kuleta Umeme waafuta watakaoweza wanunue watakaoshindwa wakae Giza.

Awamu hii ya SITA Mimi naiita Awamu ya Giza Totoro, Bodi imevunjwa mara tatu, wakurugenzi wamebadilishwa mara mbili, lakini Mgao ni ule ule
Nadhani tatizo ni aina ya viongozi walioteuliwa kusimamia mipango ya serikali. Ni aibu sana na inaketa kuona tumefeli almost kila kitu. Africans are just funny human beings.
 
Hii nchi Sasa inapoelekea ni pabaya, Toka Awamu ya Mkapa, haijawaji kutokea Mgao mkali wa Umeme kama huu Awamu hii inayoitwa ya sita, Mgao ambao umedumu zaidi ya Mwaka Mmoja.

Hii Serikali Sasa ikibidi tu iwashe mitambo ya kifisadi ya IPTL Kwa maana mtu unawezaje kuvumilia Mgao wa zaidi ya Mwaka Mzima, mvua zinyeshe zisinyeshe Mgao upo pale pale.

Serikali itafute Namna hata kuleta Umeme waafuta watakaoweza wanunue watakaoshindwa wakae Giza.

Awamu hii ya SITA Mimi naiita Awamu ya Giza Totoro, Bodi imevunjwa mara tatu, wakurugenzi wamebadilishwa mara mbili, lakini Mgao ni ule ule
Awamu ya wapigaji na chawa wao
 
Tatizo uongozi wetu hauna political will kwenye solar bado. Tumewekeza hela nyingi sana kwenye Hydro.

Hizo hela zingewekezwa kwenye solar na kuruhusu watu kuuza umeme kwenye grid ya taifa, tungefika mbali sana.
Kabisa aisee
 
Back
Top Bottom