kisumbusi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 389
- 418
Shida tunapoteza pesa nyingi kununua hizo sola za mchina bora zingekuwa zinatengenezwa hapa hapa bongoKuna rafiki zangu wawili wamefunga solar power, mgao wa TANESCO wanacheka tu.
Shida tunapoteza pesa nyingi kununua hizo sola za mchina bora zingekuwa zinatengenezwa hapa hapa bongoKuna rafiki zangu wawili wamefunga solar power, mgao wa TANESCO wanacheka tu.
Na huku wamebeba dah!Wamekata tayari, jamani noma sana, umeme jana umerudi saa 05pm leo mapema tu wamekata
Sent from my CPH2349 using JamiiForums mobile app
Ccm imefeli iondoke, wazalendo Tuanze kuijenga upya nchi yetuHii nchi Sasa inapoelekea ni pabaya, Toka Awamu ya Mkapa, haijawaji kutokea Mgao mkali wa Umeme kama huu Awamu hii inayoitwa ya sita, Mgao ambao umedumu zaidi ya Mwaka Mmoja.
Hii Serikali Sasa ikibidi tu iwashe mitambo ya kifisadi ya IPTL Kwa maana mtu unawezaje kuvumilia Mgao wa zaidi ya Mwaka Mzima, mvua zinyeshe zisinyeshe Mgao upo pale pale.
Serikali itafute Namna hata kuleta Umeme waafuta watakaoweza wanunue watakaoshindwa wakae Giza.
Awamu hii ya SITA Mimi naiita Awamu ya Giza Totoro, Bodi imevunjwa mara tatu, wakurugenzi wamebadilishwa mara mbili, lakini Mgao ni ule ule
Tungeweza kuwaruhusu hawa watu wauze umeme kwenye grid ya taifa ingekuwa vizuri zaidi. Tungewapa watu incentive ya kuweka solar na kuipa TANESCO competition.Ndiko tunakoelekea !
Hakika walishafeliCcm imefeli iondoke, wazalendo Tuanze kuijenga upya nchi yetu
Acha kukariri.Nasema mama anaupiga mwingi!
Hivi kuna mgao wa umeme, ninapoishi mkoan kwangu sijawahisikia mgaoHii nchi Sasa inapoelekea ni pabaya, Toka Awamu ya Mkapa, haijawaji kutokea Mgao mkali wa Umeme kama huu Awamu hii inayoitwa ya sita, Mgao ambao umedumu zaidi ya Mwaka Mmoja.
Hii Serikali Sasa ikibidi tu iwashe mitambo ya kifisadi ya IPTL Kwa maana mtu unawezaje kuvumilia Mgao wa zaidi ya Mwaka Mzima, mvua zinyeshe zisinyeshe Mgao upo pale pale.
Serikali itafute Namna hata kuleta Umeme waafuta watakaoweza wanunue watakaoshindwa wakae Giza.
Awamu hii ya SITA Mimi naiita Awamu ya Giza Totoro, Bodi imevunjwa mara tatu, wakurugenzi wamebadilishwa mara mbili, lakini Mgao ni ule ule
And yet umeme ulikuwa haukatiki katiki !Tatizo serikali ya awamu ya tano ilikuwa haifanyi service mitambo
Tatizo uongozi wetu hauna political will kwenye solar bado. Tumewekeza hela nyingi sana kwenye Hydro.Shida tunapoteza pesa nyingi kununua hizo sola za mchina bora zingekuwa zinatengenezwa hapa hapa bongo
Mkoa gani?Hivi kuna mgao wa umeme, ninapoishi mkoan kwangu sijawahisikia mgao
Hii Awamu kwenye Umeme imefeli, biteko yupo kimya kama hayupo
Nadhani tatizo ni aina ya viongozi walioteuliwa kusimamia mipango ya serikali. Ni aibu sana na inaketa kuona tumefeli almost kila kitu. Africans are just funny human beings.Hii nchi Sasa inapoelekea ni pabaya, Toka Awamu ya Mkapa, haijawaji kutokea Mgao mkali wa Umeme kama huu Awamu hii inayoitwa ya sita, Mgao ambao umedumu zaidi ya Mwaka Mmoja.
Hii Serikali Sasa ikibidi tu iwashe mitambo ya kifisadi ya IPTL Kwa maana mtu unawezaje kuvumilia Mgao wa zaidi ya Mwaka Mzima, mvua zinyeshe zisinyeshe Mgao upo pale pale.
Serikali itafute Namna hata kuleta Umeme waafuta watakaoweza wanunue watakaoshindwa wakae Giza.
Awamu hii ya SITA Mimi naiita Awamu ya Giza Totoro, Bodi imevunjwa mara tatu, wakurugenzi wamebadilishwa mara mbili, lakini Mgao ni ule ule
Tatizo kuu ni upigaji Mkuu !!Tatizo uongozi wetu hauna political will kwenye solar bado. Tumewekeza hela nyingi sana kwenye Hydro.
Hizo hela zingewekezwa kwenye solar na kuruhusu watu kuuza umeme kwenye grid ya taifa, tungefika mbali sana.
Awamu ya wapigaji na chawa waoHii nchi Sasa inapoelekea ni pabaya, Toka Awamu ya Mkapa, haijawaji kutokea Mgao mkali wa Umeme kama huu Awamu hii inayoitwa ya sita, Mgao ambao umedumu zaidi ya Mwaka Mmoja.
Hii Serikali Sasa ikibidi tu iwashe mitambo ya kifisadi ya IPTL Kwa maana mtu unawezaje kuvumilia Mgao wa zaidi ya Mwaka Mzima, mvua zinyeshe zisinyeshe Mgao upo pale pale.
Serikali itafute Namna hata kuleta Umeme waafuta watakaoweza wanunue watakaoshindwa wakae Giza.
Awamu hii ya SITA Mimi naiita Awamu ya Giza Totoro, Bodi imevunjwa mara tatu, wakurugenzi wamebadilishwa mara mbili, lakini Mgao ni ule ule
Kabisa aiseeTatizo uongozi wetu hauna political will kwenye solar bado. Tumewekeza hela nyingi sana kwenye Hydro.
Hizo hela zingewekezwa kwenye solar na kuruhusu watu kuuza umeme kwenye grid ya taifa, tungefika mbali sana.
Upigaji ni matokeo ya ujinga.Tatizo kuu ni upigaji Mkuu !!
Mengine yote ni visingizio !!