Hali ya mgao wa umeme mkoani Arusha, ni kama ile ya mwaka 2006 wakati wa Kikwete (mgao ni mkali)

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,027
144,381
Hiki ndicho naweza kusema kuhusu huu mgao wa umeme hapa mkoani Arusha.

Nimefika hapa juzi mida ya saa moja usiku na kukutana na giza nene maeneo ya Usa-River.Umeme ulirudi saa 5 usiku na asubuhi saa 12 kasoro wakakata tukashinda almost siku nzima hakuna umeme.

Leo tumeamka nao(ulirudi usiku) na.ilipofika saa 10 wakakata na mpaka saa hizi tuko gizani.

Jana nako hali ilikuwa ni hiyo hiyo, mchana mzima hamna umeme ukarudi saa 12 jioni na ndio huo tuliamka nao leo hii.

Sina ratiba kamili ya mgao (Kama ipo), ila kwa hizi siku tatu nilizokaa hapa Arusha maeneo ya Usa River, hali ndio hii.

Mwaka 2006 wakati wa Kikwete, hali ilikuwa ni kama hii. Sasa leo hii ikiwa ni miaka 16 baada ya ule mgao, bado tena tumerudi katika hali ile ile. Binafsi najiuliza, katika kipindi chote hiki cha miaka 16, hatukijfunza na kuchukua hatua hali hii isijirudie tena?

Hii nchi inasikitisha sana na Watanzania wenye imani na CCM kamwe huwa siwaelewi kabisa wanatKa mpaka nini kitokee ndio wakubali CCM hii nchi imewashinda na hawafai kuendelea kubaki madarakani hata kwa sekunde moja ijayo.

Miaka 60 ya uhuru bado tunaongele megawatts, wimbo usioisha. Aibu sana!
 
Hiki ndicho naweza kusema kuhusu huu mgao wa umeme hapa mkoani Arusha.

Nimefika hapa juzi mida ya saa moja usiku na kukutana na giza nene maeneo ya Usa-River.Umeme ulirudi saa 5 usiku na asubuhi saa 12 kasoro wakakata tukashinda almost siku nzima hakuna umeme.

Leo tumeamka nao(ulirudi usiku) na.ilipofika saa 10 wakakata na mpaka saa hizi tuko gizani.

Jana nako hali ilikuwa ni hivyo hovyo mchana mzima hamna umeme ukarudi saa 12 jioni na ndio huo tuliamka nao leo hii.

Sina ratiba kamili ya mgao (Kama ipo) ila kwa hizi siku tatu nilizokaa hapa Arusha hali ndio hii.

Mwaka 2006 wakati wa Kikwete, hali ilikuwa ni kama hii. Sasa leo hii ikiwa ni miaka 16 baada ya ule mgao, bado tena tumerudi katika hali ile ile. Binafsi najiuliza, katika kipindi chote hiki cha miaka 16, hatukijfunza na kuchukua hatua hali hii isijirudie tena?

Hii nchi inasikitisha sana na Watanzania wenye imani na CCM kamwe huwa siwaelewi kabisa wanatKa mpaka nini kitokee ndio wakubali CCM hii nchi imewashinda na hawafai kuendelea kubaki madarakani hata kwa sekunde moja ijayo.

Miaka 60 ya uhuru bado tunaongele megawatts, wimbo usioisha. Aibu sana.
CCM oyeeee
 
Hiki ndicho naweza kusema kuhusu huu mgao wa umeme hapa mkoani Arusha.

Nimefika hapa juzi mida ya saa moja usiku na kukutana na giza nene maeneo ya Usa-River.Umeme ulirudi saa 5 usiku na asubuhi saa 12 kasoro wakakata tukashinda almost siku nzima hakuna umeme.

Leo tumeamka nao(ulirudi usiku) na.ilipofika saa 10 wakakata na mpaka saa hizi tuko gizani.

Jana nako hali ilikuwa ni hiyo hiyo, mchana mzima hamna umeme ukarudi saa 12 jioni na ndio huo tuliamka nao leo hii.

Sina ratiba kamili ya mgao (Kama ipo), ila kwa hizi siku tatu nilizokaa hapa Arusha maeneo ya Usa River, hali ndio hii.

Mwaka 2006 wakati wa Kikwete, hali ilikuwa ni kama hii. Sasa leo hii ikiwa ni miaka 16 baada ya ule mgao, bado tena tumerudi katika hali ile ile. Binafsi najiuliza, katika kipindi chote hiki cha miaka 16, hatukijfunza na kuchukua hatua hali hii isijirudie tena?

Hii nchi inasikitisha sana na Watanzania wenye imani na CCM kamwe huwa siwaelewi kabisa wanatKa mpaka nini kitokee ndio wakubali CCM hii nchi imewashinda na hawafai kuendelea kubaki madarakani hata kwa sekunde moja ijayo.

Miaka 60 ya uhuru bado tunaongele megawatts, wimbo usioisha. Aibu sana.
Mama ata sema na hili nawa achia mkaliangalie..
 
Ni mkali sana mkuu 🤣

Imagine unatoka nyumbani hamna umeme, unajiambia nitaukuta kazini. Kumbe kazini nako hamna..

Unatoka kazini umeme umerudi labda, unafika nyumbani umekatika
Lwo nao ulihurumiwa pande zako
 
Back
Top Bottom