Nashukuru kujiunga na jf watu makini wanaojua nini wanaandika.Tofauti na nyingine hapa nimekuta habari za uhakika na zilizochambuliwa na watu wenye akili.Nimekuwa nikitembelea humu mara kwa mara sana na kuna hoja ambazo nilitaka kuchangia lkn sikuwa nimejoin lkn kwa sasa nashukuru na mimi sasa naweza kutoa maoni yangu.Shukran kwa wamiliki wa jf na wanachama wote,asanteni sana.