Suleiman mchawi WA Rhymes
JF-Expert Member
- Apr 24, 2022
- 412
- 990
Habari zenu wakuu, naitwa Dawa ya wajinga mimi mgeni JF naombeni mnipokeee
Nimeipenda sana JF kutokana na uhuru wa mawazo usiyokwaza watu.
pia nimeona raisi na supika wanapita humu sasa mimi ni nani nisiiingie humu kupata madini
Nimeipenda sana JF kutokana na uhuru wa mawazo usiyokwaza watu.
pia nimeona raisi na supika wanapita humu sasa mimi ni nani nisiiingie humu kupata madini