Rock art
Member
- Apr 20, 2023
- 40
- 21
Habari zenu wakongwe wa JF?
Nimekuwa nikifuatilia JF toka 2013 kwa kupitia freebasic bila kujibu hoja. Nimenufaika sana kupitia hoja za members wa JF, kwa kipindi cha 2013 mpaka 2023 sikuwa na simu inayo sapoti JF app.
Leo nimeingia humu ndani kama member rasmi, baada ya kupata smart phone yenye JF app, nawaombeni mnipokee mgeni wenu kama wageni wa majumbani mwenu.
Nimalizie kwa kuwashukuru waanzilishi wa JF pamoja na members wote.
Asanteni.....
Nimekuwa nikifuatilia JF toka 2013 kwa kupitia freebasic bila kujibu hoja. Nimenufaika sana kupitia hoja za members wa JF, kwa kipindi cha 2013 mpaka 2023 sikuwa na simu inayo sapoti JF app.
Leo nimeingia humu ndani kama member rasmi, baada ya kupata smart phone yenye JF app, nawaombeni mnipokee mgeni wenu kama wageni wa majumbani mwenu.
Nimalizie kwa kuwashukuru waanzilishi wa JF pamoja na members wote.
Asanteni.....