Habari njema kwa mkoa wa Njombe na wana CCM wote !!!!!

wANGEKUWA WACHAGGA KWELI WANGELETA MAENDELAO KWAO LKN HAO ULIOWATAJA, HUYO MAKINDA YUPO HUKO BUNGENI MIAKA NENDA MIAKA RUDI USHAONA TOFAUTI HUKO NJOMBE?

Sana sana amewezesha mgawanyiko wanaoita mkoa wakidhani ndio maendeleo.
Thubutu??!!! mikoa iliyotengwa miaka nenda rudi imebaki vile vile sasa hawa ndio wataleta mabadiliko gani? naweza kusema ni stupidity at large!
 
Lazima utakuwa unavuta Carbon na kupumua amonia, hii mada kawawakilishie magamba wenzako huko.
 
sina uhakika sana na uwezo wako any way ni hv hapa utamsifia filihunzombe kwasaba anamwelekeo wa kuleta maendeleo na huyo mkuu wa koa kwa unavomfahamu lakini siyo hao uliowaorodhesha na kama hzo lasilimali zilikuwepo tangu kuanza kwa CCM mbona hawakuzitumia iweje leo ushawishike kirahisi kiasi hicho kumbuka USIOGOPE KUITWA BUBU KWENYE KUNDI LA VIZIWI na usitegemee watu na lasilimali nzuri kufanya vizuri ndani ya mfumo ulioshindwa sasa unachotakiwa kutegemea ndani ya mkoa wako ni ufisadi siyo maendeleo kama unavoota USHAULI dawa peke kwa maendeleo ya mkoa na inchi ni kufanya mabadiliko ya mfumo siyo watu nadhani utakuwa umeelewa.
 
Kwa mfumo uliopo, hizo zako ni ndoto za mchana. utasubiri sana!!!
 
Duh.. Kweli akili ni nywele.. Kila mtu ana zake.. centralize baci ur story ili tuelewe ni lipi hasa unalolisemea.. Maana naona kila ukijibu comment unakuja kivingine.. Inakuwa kama post mpya vle..
 
ama kweli wewe inabidi tukupe ubingwa wa kuchomekea. Ulikoanzia na ulikoishia ni maajabu tosha! Kama goli la tiktaka vile!
 
Yani leo nimekutana na mwendawazimu (mkereketwa wa magamba) ana kwa ana nikaona mahali pakupata refresh ni kwenye jamvi letu! Mara nakutana na uharo... Jamani tuhurumiane, huu ni uwendawazimu, eti kupata maendeleo yaliyoshindikana kwa miaka 50 kisa mkoa mpya na wabunge wasomi ndani ya mfumo ulio shindwa!

Huyu mleta mada kajisifia yupo majuu anabukua na mwendo ni wa masters na phd, lakini nionavyo mimi ili kutatua tatizo kwanza utambue kiini cha tatizo, sasa mwenzetu anaonekana hata kiini cha umaskini wetu hajakijua, yeye anadhani kuwa na wasomi na rasilimali basi yatosha kupaa kimaendeleo! Akamuulize Chenge ni Harvardian na atokako ni dhababu tupu lakini umasikini umeshika kasi. Ukweli sisi ni maskini kwasababu ya 'mfumo' mbovu wa utawala wa ccm ambao hao aliowataja kwamba wataupaiza uchumi wa mkoa wako chini yake katika kutekeleza majukumu yao.
JAMANI WANAJAMVI NI HIVI 'KUTARAJIA KUKWAMULIWA KIMAENDELEO/KIUCHUMI NA CCM NI UWENDAWAZIMU',
Nawakilisha
 
....Naona jana mmepata jibu kamili kuwa CCM ipo imara ndani ya NJOMBE,pamoja na WABUNGE wenu kushambulia jukwaa mmeweza kuwatapeli wanaNJOMBE mil.1.5 tuuuuuuuuuu,mnataka kuwatumia wananchi kujilipa mishahara bila kufanya kazi? Mnatumia nguvu nyingi bila akili...Uchaguzi mwaka 2015 lakini nyinyi mnafanya kampeni leo hiyo ni hujuma na kuwapotezea muda wa kufanya kazi za kujenga uchumi wao ! Wangapi walijiunga na CHADEMA ???


T.NYIMBO lazima uchanganyikiwe zaidi ,si muda mrefu utaokota makopo kama siyo mbeta za ulanzi.....vipi matusi umeacha siku hizi??????????????
Kweli wewe ni mgonjwa wa akili (lukwale lwa nyoho) unahitaji tiba haraka sana kabla hujaleta madhara makubwa kwa jamii inayokuzunguka.
 
Nifuraha ya kipekee kuona Mkoa Mpya wa NJOMBE ni unapaa katika medali za kisiasa na kiuchumi baada yakuwa na WABUNGE MAKINI kutoka CCM wenye taaluma na uzoefu uliotukuka katika kuhamasisha maendeleo.Ukizingatia tuna MKUU wa MKOA mchapakazi asiyependa porojo hakika NJOMBE itapaa sana katika ukanda wa KUSINI nakuwa kitovu cha UCHUMI kutokana na rasilimali zilizopo kama MCHUCHUMA na LIGANGA,MISITU ya MBAO,CHAI,PARETO,ALIZETI na MAHARAGE yanatosha kugeuza mkoa huu kuwa kitovu cha uchumi.

Pongezi za dhati kwa wabunge hawa;

Mh.Deo Filikunjombe
Mh.Anne Makinda
Mh.Eng.Gerson Lwenge(NW UJENZI)
Mh.Dkt.Binilith Mahenge(NW MAJI)
Mh.Jah People

Hawa viongozi pamoja na MKUU wa MKOA Mh.Msangi wataleta mapinduzi ya maendeleo kwa kutumia taaluma zao na uzoefu katika kazi,Rai yangu kwa WANANJOMBE wote,tuwape ushirikiano katika kuharakisha maendeleo ya MKOA wetu.

Pia tuache kuyumbishwa na propaganda za wanasiasa UCHWARA kama NYIMBO eti ataleta maendeleo? Wananjombe si VIPOFU wala si VIZIWI wala si ZEZETA kana kwamba NYIMBO ni mgeni katika siasa za NJOMBE,alipata nafasi miaka 10 huko nyuma akasahau wajibu wake wakuwatumikia wananchi akawa nachumia TUMBO,wanaCCM wamegundua JANJA yake anakimbilia CHADEMA,salamu zake,ASAHAU kurudi kutawala tena na NJOMBE ina watu makini na WASOMI wanaojua ukweli wa mambo.

Kisa cha kweli ninachokikumbuka,alinunua PIKIPIKI 25 ili awape VIJANA wake wakati wa kampeni akiamini atashinda UBUNGE,kwa bahati mbaya alishagawa chache kwa viongozi kadhaa,lakini aliposhindwa aliwaiita wote NYUMBANI KWAKE akiwadanganya anafanya SHEREHE ya KUJILIWAZA na kujipanga UPYA kwa uchaguzi UJAO...wale watu wakaenda na mbwembwe zao na PIKIPIKI za HONGO walipofika akawageuzia KIBAO na KUWANYANG'ANYA Pikipiki zote !
Huyu ndiyo NYIMBO yule mjanja mjanja ambaye anahangaika kurudi kwenye SIASA,pole sana bw.NYIMBO kwa kufulia hadi unaamua kunyang'anya pikipiki za MCHINA zenye thani ya Mil.25.

Kama wewe mjanja fufua chama chako cha PONA ili uone siasa siyo poroja bali UTENDAJI.....tunafahamu unavizia kuwa Mnykt.wa CHADEMA kwa vile huna kazi ya kufanya....sasa hivi umewajengea kibanda cha OFISI pale WANGING'OMBE na kukibatiza ofisi za CHADEMA mkoa wa NJOMBE,imekula kwako kwani hutaweza kunyang'anya pale watakapo kupiga chini kama ulivyotupwa na CHIKU ABWAO katika MKOA wa IRINGA.
\
Nakushauri nunua trekta ulime KARANGA na alizeti ili tudumishwe UCHUMI wetu badala ya kuzunguka vijijini ukifungua matawi hewa na kutumia mitandao ya KIJAMII na magazeti wakusifie kwa habari za kufikirika.

Wananjombe msidanganyike na huyu NYIMBO,ameshahujumu shule za WAZAZi za WANGING'OMBE na MTWANGO hadi zikashuka kitaaluma kwa ulafi wake,barabara hazipitiki,na miradi ya umeme ilikwamishwa na yeye baada ya YONO kumshinda katika UCHAGUZI...kwa ufupi anataka kuwatapeli tena...basio msipoteze muda wenu kuhudhuria mikutano yake...Ukisikia anakuja basi wewe wahi shambani au kazini kwako ukijitafutie riziki yako....Tufanye kazi kwa bidii ili tupate maendeleo yetu na familia zetu.Kuwa MBUNGE siyo suluhisho kama hakuna nia ya dhati kuwatumikia wananchi.

SIASA za NJOMBE si za kishabiki kama mikoa mingine,tunahitaji watendaji makini ambao tayari tunao wakutosha ambao wapo tayari kushirikia na WABUNGE wao !!!!!!!!

Nawassilisha

Faiza Foxy.
 
Back
Top Bottom