Nifuraha ya kipekee kuona Mkoa Mpya wa NJOMBE ni unapaa katika medali za kisiasa na kiuchumi baada yakuwa na WABUNGE MAKINI kutoka CCM wenye taaluma na uzoefu uliotukuka katika kuhamasisha maendeleo.Ukizingatia tuna MKUU wa MKOA mchapakazi asiyependa porojo hakika NJOMBE itapaa sana katika ukanda wa KUSINI nakuwa kitovu cha UCHUMI kutokana na rasilimali zilizopo kama MCHUCHUMA na LIGANGA,MISITU ya MBAO,CHAI,PARETO,ALIZETI na MAHARAGE yanatosha kugeuza mkoa huu kuwa kitovu cha uchumi.
Pongezi za dhati kwa wabunge hawa;
Mh.Deo Filikunjombe
Mh.Anne Makinda
Mh.Eng.Gerson Lwenge(NW UJENZI)
Mh.Dkt.Binilith Mahenge(NW MAJI)
Mh.Jah People
Hawa viongozi pamoja na MKUU wa MKOA Mh.Msangi wataleta mapinduzi ya maendeleo kwa kutumia taaluma zao na uzoefu katika kazi,Rai yangu kwa WANANJOMBE wote,tuwape ushirikiano katika kuharakisha maendeleo ya MKOA wetu.
Pia tuache kuyumbishwa na propaganda za wanasiasa UCHWARA kama NYIMBO eti ataleta maendeleo? Wananjombe si VIPOFU wala si VIZIWI wala si ZEZETA kana kwamba NYIMBO ni mgeni katika siasa za NJOMBE,alipata nafasi miaka 10 huko nyuma akasahau wajibu wake wakuwatumikia wananchi akawa nachumia TUMBO,wanaCCM wamegundua JANJA yake anakimbilia CHADEMA,salamu zake,ASAHAU kurudi kutawala tena na NJOMBE ina watu makini na WASOMI wanaojua ukweli wa mambo.
Kisa cha kweli ninachokikumbuka,alinunua PIKIPIKI 25 ili awape VIJANA wake wakati wa kampeni akiamini atashinda UBUNGE,kwa bahati mbaya alishagawa chache kwa viongozi kadhaa,lakini aliposhindwa aliwaiita wote NYUMBANI KWAKE akiwadanganya anafanya SHEREHE ya KUJILIWAZA na kujipanga UPYA kwa uchaguzi UJAO...wale watu wakaenda na mbwembwe zao na PIKIPIKI za HONGO walipofika akawageuzia KIBAO na KUWANYANG'ANYA Pikipiki zote !
Huyu ndiyo NYIMBO yule mjanja mjanja ambaye anahangaika kurudi kwenye SIASA,pole sana bw.NYIMBO kwa kufulia hadi unaamua kunyang'anya pikipiki za MCHINA zenye thani ya Mil.25.
Kama wewe mjanja fufua chama chako cha PONA ili uone siasa siyo poroja bali UTENDAJI.....tunafahamu unavizia kuwa Mnykt.wa CHADEMA kwa vile huna kazi ya kufanya....sasa hivi umewajengea kibanda cha OFISI pale WANGING'OMBE na kukibatiza ofisi za CHADEMA mkoa wa NJOMBE,imekula kwako kwani hutaweza kunyang'anya pale watakapo kupiga chini kama ulivyotupwa na CHIKU ABWAO katika MKOA wa IRINGA.
\
Nakushauri nunua trekta ulime KARANGA na alizeti ili tudumishwe UCHUMI wetu badala ya kuzunguka vijijini ukifungua matawi hewa na kutumia mitandao ya KIJAMII na magazeti wakusifie kwa habari za kufikirika.
Wananjombe msidanganyike na huyu NYIMBO,ameshahujumu shule za WAZAZi za WANGING'OMBE na MTWANGO hadi zikashuka kitaaluma kwa ulafi wake,barabara hazipitiki,na miradi ya umeme ilikwamishwa na yeye baada ya YONO kumshinda katika UCHAGUZI...kwa ufupi anataka kuwatapeli tena...basio msipoteze muda wenu kuhudhuria mikutano yake...Ukisikia anakuja basi wewe wahi shambani au kazini kwako ukijitafutie riziki yako....Tufanye kazi kwa bidii ili tupate maendeleo yetu na familia zetu.Kuwa MBUNGE siyo suluhisho kama hakuna nia ya dhati kuwatumikia wananchi.
SIASA za NJOMBE si za kishabiki kama mikoa mingine,tunahitaji watendaji makini ambao tayari tunao wakutosha ambao wapo tayari kushirikia na WABUNGE wao !!!!!!!!
Nawassilisha
Pongezi za dhati kwa wabunge hawa;
Mh.Deo Filikunjombe
Mh.Anne Makinda
Mh.Eng.Gerson Lwenge(NW UJENZI)
Mh.Dkt.Binilith Mahenge(NW MAJI)
Mh.Jah People
Hawa viongozi pamoja na MKUU wa MKOA Mh.Msangi wataleta mapinduzi ya maendeleo kwa kutumia taaluma zao na uzoefu katika kazi,Rai yangu kwa WANANJOMBE wote,tuwape ushirikiano katika kuharakisha maendeleo ya MKOA wetu.
Pia tuache kuyumbishwa na propaganda za wanasiasa UCHWARA kama NYIMBO eti ataleta maendeleo? Wananjombe si VIPOFU wala si VIZIWI wala si ZEZETA kana kwamba NYIMBO ni mgeni katika siasa za NJOMBE,alipata nafasi miaka 10 huko nyuma akasahau wajibu wake wakuwatumikia wananchi akawa nachumia TUMBO,wanaCCM wamegundua JANJA yake anakimbilia CHADEMA,salamu zake,ASAHAU kurudi kutawala tena na NJOMBE ina watu makini na WASOMI wanaojua ukweli wa mambo.
Kisa cha kweli ninachokikumbuka,alinunua PIKIPIKI 25 ili awape VIJANA wake wakati wa kampeni akiamini atashinda UBUNGE,kwa bahati mbaya alishagawa chache kwa viongozi kadhaa,lakini aliposhindwa aliwaiita wote NYUMBANI KWAKE akiwadanganya anafanya SHEREHE ya KUJILIWAZA na kujipanga UPYA kwa uchaguzi UJAO...wale watu wakaenda na mbwembwe zao na PIKIPIKI za HONGO walipofika akawageuzia KIBAO na KUWANYANG'ANYA Pikipiki zote !
Huyu ndiyo NYIMBO yule mjanja mjanja ambaye anahangaika kurudi kwenye SIASA,pole sana bw.NYIMBO kwa kufulia hadi unaamua kunyang'anya pikipiki za MCHINA zenye thani ya Mil.25.
Kama wewe mjanja fufua chama chako cha PONA ili uone siasa siyo poroja bali UTENDAJI.....tunafahamu unavizia kuwa Mnykt.wa CHADEMA kwa vile huna kazi ya kufanya....sasa hivi umewajengea kibanda cha OFISI pale WANGING'OMBE na kukibatiza ofisi za CHADEMA mkoa wa NJOMBE,imekula kwako kwani hutaweza kunyang'anya pale watakapo kupiga chini kama ulivyotupwa na CHIKU ABWAO katika MKOA wa IRINGA.
\
Nakushauri nunua trekta ulime KARANGA na alizeti ili tudumishwe UCHUMI wetu badala ya kuzunguka vijijini ukifungua matawi hewa na kutumia mitandao ya KIJAMII na magazeti wakusifie kwa habari za kufikirika.
Wananjombe msidanganyike na huyu NYIMBO,ameshahujumu shule za WAZAZi za WANGING'OMBE na MTWANGO hadi zikashuka kitaaluma kwa ulafi wake,barabara hazipitiki,na miradi ya umeme ilikwamishwa na yeye baada ya YONO kumshinda katika UCHAGUZI...kwa ufupi anataka kuwatapeli tena...basio msipoteze muda wenu kuhudhuria mikutano yake...Ukisikia anakuja basi wewe wahi shambani au kazini kwako ukijitafutie riziki yako....Tufanye kazi kwa bidii ili tupate maendeleo yetu na familia zetu.Kuwa MBUNGE siyo suluhisho kama hakuna nia ya dhati kuwatumikia wananchi.
SIASA za NJOMBE si za kishabiki kama mikoa mingine,tunahitaji watendaji makini ambao tayari tunao wakutosha ambao wapo tayari kushirikia na WABUNGE wao !!!!!!!!
Nawassilisha