Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,786
- 3,677
....Ndani ya miaka 3 lazima kero muhimu zitatuliwe mara moja,Mh.Makinda ukisoma hapa nenda kachunguze nini kinakwamisha kumaliza hayo matatizo kabla mwaka haujaisha,pia MAKAMBAKO lazima stand ijengwe vizuri katika kiwango cha kimataifa...kwani ndiyo eneo ambalo itakuwa CENTER of Business in Southern Zone..wafadhili nawadau mbalimbali wana nia ya kupaendeleza ili kuharakisha miundombinu ya mkoa wa NJOMBE....Be ready for economic development !!!
kwa nguvu zenu za kutegenea kutoka kwa mwakipande na mwandulami?