Habari Mbaya: Mkurugenzi wa Meatu achomewa nyumba yake, yote yateketea

Mbona bado sasa mnapeleka watu ambao sio chaguo la eneo mnategemea watu waungane nae,hapa wala sio upinzani ni CCM wenyewe kwa wenyewe mwaka huu mtasingizia upinzani,ila mtaelewa watu wanapochagua wanaemtaka halafu mkawapelekea wasie mtaka,mnatafuta balaa na kumtafutia huyo mnaempeleka matatizo nahisi ni bora sasa mkawapelekea ulinzi wa polisi masaa 24,mbnge anenda kazini polisi wengine wanamsindikiza wengine wanalinda nyumba isije ikaingia moto.
 
THIS WILL NOT GO UNNOTICED. THE COMEBACK WILL BE OVERWHELM. WAIT AND SEE.
 
Nimeshuhudia Kijiji kimoja mkoani Rukwa watu wamegawana soko dogo pale Kijijini. Kulia wànauza na kununua CCM peke yao, Kushoto CHADEMA na ACT. Naungana na wewe kuwaomba Polisi kwa kutumia falsafa yao ya polisi jamii warejeshe umoja na utangamano miongoni mwa Watanzania maana wengine wanajali madaraka tu.
Polisi si ndiyo waliosimamia wizi wa kura?
 
Hiki ndicho kitakacho enda tokea kwa kuangalia mfano wa siasa za Kenya kabla ya muafaka uliowawezesha kupata katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
 
Mkurugenzi wa Meatu mkoani Simiyu amechomewa nyumba yake usiku wa kuamkia leo.

Nyumba yote imechomwa na vitu vyote vilivyomo ndani.

MY TAKE:
Polisi ifanye jitihaza za kuleta Utulivu Nchini sababu nchi yetu ni kisiwa cha Amani. Iwachukulie hatua wote waliohusika.
Ukipanda bangi utavuna bangi.
Haya mlipanda chuki haya ndiyo mazao yake.
Polisi hawataweza leta amani bali wataleta utulivu tu.
 
Nipe taarifa kamili, tufanya mchakato haraka sana KIONGOZI. Asante kwa taarifa!
Nimeshuhudia Kijiji kimoja mkoani Rukwa watu wamegawana soko dogo pale Kijijini. Kulia wànauza na kununua CCM peke yao, Kushoto CHADEMA na ACT.

Naungana na wewe kuwaomba Polisi kwa kutumia falsafa yao ya polisi jamii warejeshe umoja na utangamano miongoni mwa Watanzania maana wengine wanajali madaraka tu.
 
Lissu akiongelea maridhiano, kuna watu wanambeza, wacha tufike wanakotaka tufike.
Hakuwahi kusema hilo neno hata kbla hajapigwa risasi, sasa iweje baada ya kushindwa ndo atake maridhiano?
Yeye apambane kwanza mpaka akijifunza kuheshim viongozi na kuwa na kauli nzuri kwenye mazungumzo yake.
Na akubali kuwa Magufuli ni rais halali.
 
Hakuwahi kusema hilo neno hata kbla hajapigwa risasi, sasa iweje baada ya kushindwa ndo atake maridhiano?
Yeye apambane kwanza mpaka akijifunza kuheshim viongozi na kuwa na kauli nzuri kwenye mazungumzo yake.
Na akubali kuwa magufuli ni raisi halali.
Hukumbuki alisema wao hawatalipiza kisasi na hata Mbowe aliwahi ongelea swala la maridhiano kama moja ya agenda ya chama chao?
 
Back
Top Bottom