Habari Mbaya: Mkurugenzi wa Meatu achomewa nyumba yake, yote yateketea

Sijawahi ona watu wanajadili kibaka au jambazi kuchomwa moto na kuonyesha taharuki zao kwa nini? Kwa sababu wayatendayo no dhuluma kubwa.

Sasa jee hawa Wakurugenzi wana tofauti gani na vibaka na majambazi?

Serikali imetumia Bilioni zaidi ya 300 ya fedha zetu wao wanaharibu uchaguzi ni sawa na kuzichoma fedha.

Wagombea wetu wametumia rasilimali nyingi za mamilioni kupiga kampeni na wameishia kuibiwa kura zao tofauti ni nini na kibaka aliyekupiga roba ya mbao kukupora mafao yako?

Ili tuwaonee huruma haya yanayoanza sasa kujitokeza kwao, basi tuzungumzie na kibaka wanaochomwa moto
 
Passive Aggressive Tanzanians: Farmers by day, soldiers by night.
Hizi ndio mambo CDM wanafurahia, wakisikia vurugu roho wao kwatu, wakisikia kuna watanzania wamepata matatizo Mtwara huko kwa kuuliwa wao roho kwatu, wakisikia MKIRU wenyekiti wa vijiji wameuliwa wao roho kwatu, huu upambuvu ni kuendelea kuushughulikia bila huruma, Tz inahitaji vyama mbadala ila sio wapinga maendeleo.
Maendeleo yapi! Hayahaya ya kujenga barabara ndo unaita maendeleo! Labda hujui maana ya maendeleo. Sisi ndo tinapigania maendeleo sasa kwa taarifa yako.
 
Kwahiyo upande wa pili ndo wameona njia mbadala ya kujifariji ni kuanza kuchoma nyumba za Watanzania wenzao!.

Karma ya Dr. Silaha itaendelea kuwatafuna Sana.
 
Hizi ndio mambo CDM wanafurahia, wakisikia vurugu roho wao kwatu, wakisikia kuna watanzania wamepata matatizo Mtwara huko kwa kuuliwa wao roho kwatu, wakisikia MKIRU wenyekiti wa vijiji wameuliwa wao roho kwatu, huu upambuvu ni kuendelea kuushughulikia bila huruma, Tz inahitaji vyama mbadala ila sio wapinga maendeleo.
Nawewe ukisikia WATU wameiba KURA,wamefukuza mawakala wa vyama vya upinzan roho yako kwatuuuuu kwatu...

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Hizi ndio mambo CDM wanafurahia, wakisikia vurugu roho wao kwatu, wakisikia kuna watanzania wamepata matatizo Mtwara huko kwa kuuliwa wao roho kwatu, wakisikia MKIRU wenyekiti wa vijiji wameuliwa wao roho kwatu, huu upambuvu ni kuendelea kuushughulikia bila huruma, Tz inahitaji vyama mbadala ila sio wapinga maendeleo.
Ndugu, CDM au la, hebu tuambie, na wezi wa kura au wabakaji wa democrasia watashughulikiwa namna gani ? kumbuka, watu bado wana hasira za uchaguzi... ingawaje siungi mkono vitendo vyovyote vya uhalifu, tulipo fikia tunahitaji muafaka wa kitaifa maana sote humu duniani ni marehemu watalajiwa si chini ya miaka 70 toka sasa kwa yeyote anayesoma bandiko hili.
 
Hizi ndio mambo CDM wanafurahia, wakisikia vurugu roho wao kwatu, wakisikia kuna watanzania wamepata matatizo Mtwara huko kwa kuuliwa wao roho kwatu, wakisikia MKIRU wenyekiti wa vijiji wameuliwa wao roho kwatu, huu upambuvu ni kuendelea kuushughulikia bila huruma, Tz inahitaji vyama mbadala ila sio wapinga maendeleo.

Vyama mbadala vya nini sasa!! Au unataka upinzani wa kusifia chama tawala?? Huo utakuwa sio upinzani bali upumbavu..kufanya maendeleo wakati unapinga HAKI..ni kazi bure tu
 
Matukio ya aina hii huwa hayaishi kwa kukamata watuhumiwa na kuwafunga jela.Unakamata huyu leo,kesho linaibuka tukio lingine tena baya zaidi na chanzo huwa ni kukoskana kwa haki.

Hatarin nyingine ni uwezekana na vitendo kama hivi kusambaa katika maeneo mengine.
Visambae mara ngapi kuna watu wangapi ccm waliwateka wakati wa uchaguzi mpaka sasa wengi hawajapatikana?

Acheni watu walipize visasi vyao.
 
Back
Top Bottom