HAARP mfumo wa Marekani uliosababisha tetemeko la ardhi Uturuki na Syria

HERY HERNHO

Member
Mar 4, 2022
70
313
Tangu tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.8 liikumbe Uturuki na Syria tarehe 6 Februari, na kuua zaidi ya watu 44,000, kumekuwa na mamilioni ya machapisho kwenye Twitter yakishiriki habari, picha na video za maafa hayo.

Lakini imgegundulika kwamba baadhi ya machapisho hayo yameilaumu kwa njia isiyo sahihi HAARP, kisambaza data chenye nguvu kilichoko Alaska, Marekani, kwa kusababisha tetemeko la ardhi.

HAARP Ilianzishwa na jeshi la Marekani mnamo 1990 na imekuwa ikiendeshwa na Chuo Kikuu cha Alaska Fairbanks tangu 2014.

Kufuatia tetemeko la ardhi kulikuwa na ongezeko la idadi ya akaunti zinazochapisha kuhusu HAARP kwenye Twitter.

Katika moja ya machapisho, mwandishi aliuliza: "Ni nini hasa kilitokea Uturuki... Walitumia urekebishaji wa hali ya hewa ya Geo-engineering HAARP!"

Mtumiaji mwingine alishiriki video ya ndege na kusema kwamba wanyama walikuwa "wakitenda vitu vya ajabu" kabla ya tetemeko la ardhi, kisha akauliza ikiwa Uturuki "ilishambuliwa na HAARP?"

Watu pia walikuwa wakichapisha picha za mawingu, wakidai kuwa zilionekana Uturuki kabla ya tetemeko la ardhi na zilitengenezwa na HAARP.

HAARP ilianzishwa awali ili kutafiti athari za tabaka la angahewa ya dunia ambayo ina mkusanyiko mkubwa wa ayoni na elektroni na ina uwezo wa kuakisi mawimbi ya redio (ionosphere) kwenye mawasiliano ya kijeshi na kiraia na mifumo ya urambazaji.

Usumbufu unaotokea kwa kawaida katika ionosphere unaweza kuvuruga mawimbi ya redio yanayopitishwa kutoka duniani, ambayo ni muhimu kwa aina nyingi za teknolojia ya kisasa, ikiwa ni pamoja na satelaiti za GPS, mifumo ya Wi-Fi na vyombo vya anga na mawasiliano ya redio.

Mnamo 2022, mafuriko yalipopiga jiji la Bulgaria la Karlovo, kulikuwa na madai kwenye mitandao ya kijamii kuwa mvua hiyo kubwa ilisababishwa na HAARP.

HAARP pia ililaumiwa kwa mafuriko mabaya nchini China na moto mkubwa wa misitu nchini Uturuki mnamo 2021.

katika coment nimekuweka taarifa jins HAARP inavyofanya kazi
 

Attachments

  • LSrW9XW5ap.jpg
    LSrW9XW5ap.jpg
    315.7 KB · Views: 6
Hizo theory achana nazo wewe. Nyie ndio wale mmefikia hatua hata natural calamities mnataka kuipa ujiko Marekani. Nadhani tetemeko lingeathiri Israel na Uingereza msingekuja na hoja hizo.
Ipo siku Mlima Kilimanjaro utarusha volcano halafu mtaisifia Marekani.
 
Tangu tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.8 liikumbe Uturuki na Syria tarehe 6 Februari, na kuua zaidi ya watu 44,000, kumekuwa na mamilioni ya machapisho kwenye Twitter yakishiriki habari, picha na video za maafa hayo.

Lakini imgegundulika kwamba baadhi ya machapisho hayo yameilaumu kwa njia isiyo sahihi HAARP, kisambaza data chenye nguvu kilichoko Alaska, Marekani, kwa kusababisha tetemeko la ardhi.

HAARP Ilianzishwa na jeshi la Marekani mnamo 1990 na imekuwa ikiendeshwa na Chuo Kikuu cha Alaska Fairbanks tangu 2014.

Kufuatia tetemeko la ardhi kulikuwa na ongezeko la idadi ya akaunti zinazochapisha kuhusu HAARP kwenye Twitter.

Katika moja ya machapisho, mwandishi aliuliza: "Ni nini hasa kilitokea Uturuki... Walitumia urekebishaji wa hali ya hewa ya Geo-engineering HAARP!"

Mtumiaji mwingine alishiriki video ya ndege na kusema kwamba wanyama walikuwa "wakitenda vitu vya ajabu" kabla ya tetemeko la ardhi, kisha akauliza ikiwa Uturuki "ilishambuliwa na HAARP?"

Watu pia walikuwa wakichapisha picha za mawingu, wakidai kuwa zilionekana Uturuki kabla ya tetemeko la ardhi na zilitengenezwa na HAARP.

HAARP ilianzishwa awali ili kutafiti athari za tabaka la angahewa ya dunia ambayo ina mkusanyiko mkubwa wa ayoni na elektroni na ina uwezo wa kuakisi mawimbi ya redio (ionosphere) kwenye mawasiliano ya kijeshi na kiraia na mifumo ya urambazaji.

Usumbufu unaotokea kwa kawaida katika ionosphere unaweza kuvuruga mawimbi ya redio yanayopitishwa kutoka duniani, ambayo ni muhimu kwa aina nyingi za teknolojia ya kisasa, ikiwa ni pamoja na satelaiti za GPS, mifumo ya Wi-Fi na vyombo vya anga na mawasiliano ya redio.

Mnamo 2022, mafuriko yalipopiga jiji la Bulgaria la Karlovo, kulikuwa na madai kwenye mitandao ya kijamii kuwa mvua hiyo kubwa ilisababishwa na HAARP.

HAARP pia ililaumiwa kwa mafuriko mabaya nchini China na moto mkubwa wa misitu nchini Uturuki mnamo 2021.

katika coment nimekuweka taarifa jins HAARP inavyofanya kazi
Utter Rubbish
 
Kwa nini Turkey ndiyo Ina suffer sana na haya matetemeko?

Kwa sababu sehemu kubwa ya Ardhi ya Uturuki ipo kwenye eneo kisayansi linafahamika kama TRIPLE JUNCTION, hukutanisha maeneo 3 ya Plates za Ulaya (Eurasian), Plate ya Africa na kidogo kwenye PLATE ya Arabia (Uarabuni).

Ni kwasababu uso wa dunia tuliyopo umegawanywa kwenye visahani au tuseme Bakuli kadhaa na kila ‘plate’ zinaitwa tectonic plates.

Ndani yake kuna ujiuji wa moto ambao ndio unakuwa kama superglue ya sayari tulilopo. Kadri dunia inavyozunguka kuna wakati plate moja husogea na wanasema ardhi ya dunia ina move kwa cm 1 – cm 13 kila mwaka.

PLATE ya INDIA ilivyosogea na kukutana na plate ya EURASIA ndo kulizaliwa safu ya milima maarufu ya HIMALAYA iliyotenga INDIA na CHINA.

Wakati huu ardhi ya dunia ilikuwa ina move na kukutana, katikati ya INDIA na EURASIA ndo kulikuwa na bahari hii iliyotoweka Tethys Ocean.

Baada ya ardhi kusogeleana ndipo eneo lililokuwa chini maji miaka yote lilijitokeza juu ya dunia na eneo hilo siku hizi linafahamika kama NCHI ZA MASHARIKI YA KATI au MIDDLE EAST ambalo lina nchi kama SYRIA, IRAQ, IRAN, SAUDI
ARABIA, KUWAIT, BAHRAIN, OMAN ,YEMEN,

JORDAN, ISRAEL bila kusahau QATAR.

Dunia yetu ni dude flani la duara ambalo aliyeliumba aliligawa kwenye SAHANI (plates) kadhaa (wanaita tectonic plate) ambazo ndo zimefunikwa na tabaka la juu la ardhi tunayoiona
na kuikalia, kumaanisha nini? Kumaanisha kwamba chini kuna vitu vinatokota.
 
Kwa nini Turkey ndiyo Ina suffer sana na haya matetemeko?

Kwa sababu sehemu kubwa ya Ardhi ya Uturuki ipo kwenye eneo kisayansi linafahamika kama TRIPLE JUNCTION, hukutanisha maeneo 3 ya Plates za Ulaya (Eurasian), Plate ya Africa na kidogo kwenye PLATE ya Arabia (Uarabuni).

Ni kwasababu uso wa dunia tuliyopo umegawanywa kwenye visahani au tuseme Bakuli kadhaa na kila ‘plate’ zinaitwa tectonic plates.

Ndani yake kuna ujiuji wa moto ambao ndio unakuwa kama superglue ya sayari tulilopo. Kadri dunia inavyozunguka kuna wakati plate moja husogea na wanasema ardhi ya dunia ina move kwa cm 1 – cm 13 kila mwaka.

PLATE ya INDIA ilivyosogea na kukutana na plate ya EURASIA ndo kulizaliwa safu ya milima maarufu ya HIMALAYA iliyotenga INDIA na CHINA.

Wakati huu ardhi ya dunia ilikuwa ina move na kukutana, katikati ya INDIA na EURASIA ndo kulikuwa na bahari hii iliyotoweka Tethys Ocean.

Baada ya ardhi kusogeleana ndipo eneo lililokuwa chini maji miaka yote lilijitokeza juu ya dunia na eneo hilo siku hizi linafahamika kama NCHI ZA MASHARIKI YA KATI au MIDDLE EAST ambalo lina nchi kama SYRIA, IRAQ, IRAN, SAUDI
ARABIA, KUWAIT, BAHRAIN, OMAN ,YEMEN,

JORDAN, ISRAEL bila kusahau QATAR.

Dunia yetu ni dude flani la duara ambalo aliyeliumba aliligawa kwenye SAHANI (plates) kadhaa (wanaita tectonic plate) ambazo ndo zimefunikwa na tabaka la juu la ardhi tunayoiona
na kuikalia, kumaanisha nini? Kumaanisha kwamba chini kuna vitu vinatokota.
Mambo ni mengi sana duniani, unaweza kuta yota hayo uliyoandika ni maneno ya uongo tu ili watu wakifanya yao tuamini kuwa ni natural calamities...binadamu amekuwa mjanjamjanja sana.

Ngoja niendelee kuishi kama watu wengine wanavyotaka niishi...mara kuna kimono kinakuja kimefunika Dunia, ilimradi tuwe na hofu tu..

Siyo poa lakini nyie watu.
 
Tuambie kuanza Haarp ni kitu gani ?....maelezo yako bado hayajajitosheleza.
Tangu tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.8 liikumbe Uturuki na Syria tarehe 6 Februari, na kuua zaidi ya watu 44,000, kumekuwa na mamilioni ya machapisho kwenye Twitter yakishiriki habari, picha na video za maafa hayo.

Lakini imgegundulika kwamba baadhi ya machapisho hayo yameilaumu kwa njia isiyo sahihi HAARP, kisambaza data chenye nguvu kilichoko Alaska, Marekani, kwa kusababisha tetemeko la ardhi.

HAARP Ilianzishwa na jeshi la Marekani mnamo 1990 na imekuwa ikiendeshwa na Chuo Kikuu cha Alaska Fairbanks tangu 2014.

Kufuatia tetemeko la ardhi kulikuwa na ongezeko la idadi ya akaunti zinazochapisha kuhusu HAARP kwenye Twitter.

Katika moja ya machapisho, mwandishi aliuliza: "Ni nini hasa kilitokea Uturuki... Walitumia urekebishaji wa hali ya hewa ya Geo-engineering HAARP!"

Mtumiaji mwingine alishiriki video ya ndege na kusema kwamba wanyama walikuwa "wakitenda vitu vya ajabu" kabla ya tetemeko la ardhi, kisha akauliza ikiwa Uturuki "ilishambuliwa na HAARP?"

Watu pia walikuwa wakichapisha picha za mawingu, wakidai kuwa zilionekana Uturuki kabla ya tetemeko la ardhi na zilitengenezwa na HAARP.

HAARP ilianzishwa awali ili kutafiti athari za tabaka la angahewa ya dunia ambayo ina mkusanyiko mkubwa wa ayoni na elektroni na ina uwezo wa kuakisi mawimbi ya redio (ionosphere) kwenye mawasiliano ya kijeshi na kiraia na mifumo ya urambazaji.

Usumbufu unaotokea kwa kawaida katika ionosphere unaweza kuvuruga mawimbi ya redio yanayopitishwa kutoka duniani, ambayo ni muhimu kwa aina nyingi za teknolojia ya kisasa, ikiwa ni pamoja na satelaiti za GPS, mifumo ya Wi-Fi na vyombo vya anga na mawasiliano ya redio.

Mnamo 2022, mafuriko yalipopiga jiji la Bulgaria la Karlovo, kulikuwa na madai kwenye mitandao ya kijamii kuwa mvua hiyo kubwa ilisababishwa na HAARP.

HAARP pia ililaumiwa kwa mafuriko mabaya nchini China na moto mkubwa wa misitu nchini Uturuki mnamo 2021.

katika coment nimekuweka taarifa jins HAARP inavyofanya kazi
 
U
Kwa nini Turkey ndiyo Ina suffer sana na haya matetemeko?

Kwa sababu sehemu kubwa ya Ardhi ya Uturuki ipo kwenye eneo kisayansi linafahamika kama TRIPLE JUNCTION, hukutanisha maeneo 3 ya Plates za Ulaya (Eurasian), Plate ya Africa na kidogo kwenye PLATE ya Arabia (Uarabuni).

Ni kwasababu uso wa dunia tuliyopo umegawanywa kwenye visahani au tuseme Bakuli kadhaa na kila ‘plate’ zinaitwa tectonic plates.

Ndani yake kuna ujiuji wa moto ambao ndio unakuwa kama superglue ya sayari tulilopo. Kadri dunia inavyozunguka kuna wakati plate moja husogea na wanasema ardhi ya dunia ina move kwa cm 1 – cm 13 kila mwaka.

PLATE ya INDIA ilivyosogea na kukutana na plate ya EURASIA ndo kulizaliwa safu ya milima maarufu ya HIMALAYA iliyotenga INDIA na CHINA.

Wakati huu ardhi ya dunia ilikuwa ina move na kukutana, katikati ya INDIA na EURASIA ndo kulikuwa na bahari hii iliyotoweka Tethys Ocean.

Baada ya ardhi kusogeleana ndipo eneo lililokuwa chini maji miaka yote lilijitokeza juu ya dunia na eneo hilo siku hizi linafahamika kama NCHI ZA MASHARIKI YA KATI au MIDDLE EAST ambalo lina nchi kama SYRIA, IRAQ, IRAN, SAUDI
ARABIA, KUWAIT, BAHRAIN, OMAN ,YEMEN,

JORDAN, ISRAEL bila kusahau QATAR.

Dunia yetu ni dude flani la duara ambalo aliyeliumba aliligawa kwenye SAHANI (plates) kadhaa (wanaita tectonic plate) ambazo ndo zimefunikwa na tabaka la juu la ardhi tunayoiona
na kuikalia, kumaanisha nini? Kumaanisha kwamba chini kuna vitu vinatokota.
Chambuzi murua kabisa. Asante sana kwa kutulisha chakula cha kizuri cha ubongo.
 
Back
Top Bottom