Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,721
- 45,129
BBC Swahili wamepost muda huu kuwa Uturuki na Syria zimekumbwa tena na tetemeko muda huu
Habari zaidi zinakuja.
====
Siku 14 tangu kutokea kwa Tetemeko la Ardhi lililoua zaidi ya Watu 47,000, taarifa mpya ni kuwa kumetokea Matetemeko mengine mawili kwenye Miji ya Antakya na Adana na Mpakani mwa Nchi hizo.
Taarifa za awali zinaeleza kuwa majengo kadhaa yameharibiwa katika miji hiyo ingawa bado hakuna ripoti haraka za madhara kwa Binadamu.
Kwa mujibu wa Mamlaka, ndani ya wiki 2, yamerekodiwa Matetemeko zaidi ya 6,000 baada ya Tetemeko la awali lililosababisha madhara kwenye Nchi za Syria na Uturuki.
Kuhusu Ripoti za Tetemeko la kwanza lililotokea Febuari 6, 2023, soma: LIVE - UPDATE: Tetemeko kubwa lazikumba Uturuki na Syria. Watu zaidi ya 36,257 Wafariki Dunia
Habari zaidi zinakuja.
====
Siku 14 tangu kutokea kwa Tetemeko la Ardhi lililoua zaidi ya Watu 47,000, taarifa mpya ni kuwa kumetokea Matetemeko mengine mawili kwenye Miji ya Antakya na Adana na Mpakani mwa Nchi hizo.
Taarifa za awali zinaeleza kuwa majengo kadhaa yameharibiwa katika miji hiyo ingawa bado hakuna ripoti haraka za madhara kwa Binadamu.
Kwa mujibu wa Mamlaka, ndani ya wiki 2, yamerekodiwa Matetemeko zaidi ya 6,000 baada ya Tetemeko la awali lililosababisha madhara kwenye Nchi za Syria na Uturuki.
Kuhusu Ripoti za Tetemeko la kwanza lililotokea Febuari 6, 2023, soma: LIVE - UPDATE: Tetemeko kubwa lazikumba Uturuki na Syria. Watu zaidi ya 36,257 Wafariki Dunia