EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,539
Tetemeko jipya la ardhi lenye nguvu limeripotiwa katikati mwa Uturuki.
Utafiti wa Jiolojia kutoka Marekani unasema tetemeko lenye ukubwa wa 5.5 lilikuwa katika kina cha kilomita 10 (maili 6) karibu na mji wa Golbasi.
Wakati huo huo, Kituo cha Ulaya-Mediterranean Seismological Center (EMSC) chenye makao yake nchini Ufaransa kiliweka nguvu ya tetemeko kuwa karibu na Golbasi 5.6, na kuongeza kuwa lilikuwa katika kina cha 2km.
Mashirika yote mawili yalisema tetemeko hilo lilitokea saa 03:13 GMT siku ya Jumanne. Hawakutoa maelezo zaidi.
Eneo la Kusini-Mashariki mwa Uturuki limekumbwa na mfululizo wa mitetemeko kufuatia tetemeko kuu la ardhi karibu na mji wa Gaziantep Jumatatu asubuhi.
Utafiti wa Jiolojia kutoka Marekani unasema tetemeko lenye ukubwa wa 5.5 lilikuwa katika kina cha kilomita 10 (maili 6) karibu na mji wa Golbasi.
Wakati huo huo, Kituo cha Ulaya-Mediterranean Seismological Center (EMSC) chenye makao yake nchini Ufaransa kiliweka nguvu ya tetemeko kuwa karibu na Golbasi 5.6, na kuongeza kuwa lilikuwa katika kina cha 2km.
Mashirika yote mawili yalisema tetemeko hilo lilitokea saa 03:13 GMT siku ya Jumanne. Hawakutoa maelezo zaidi.
Eneo la Kusini-Mashariki mwa Uturuki limekumbwa na mfululizo wa mitetemeko kufuatia tetemeko kuu la ardhi karibu na mji wa Gaziantep Jumatatu asubuhi.