Ukweli usiopingika, ni takribani masaa masaa kumi yamebaki kufikia ile siku ambayo watanzania wenye kiu ya mabadiliko ya kweli kwenda kufanya hitimisho kwa kumchagua kiongozi wanaemtaka, vyombo vya habari vimekua vikitoa tathmini mbalimbali, Jamii forums inaonyesha kuwa Dr. Slaa anaongoza kwa 68.97% dhidi ya mpinzania wake JK mwenye 22.03%, Gazeti la Mwananchi (Gazeti la habari za kiswahili la kila siku Tanzania, linaongoza) nalo limetoa ripoti yake kuwa Dr. Slaa anaongoza kwa 77.2% dhidi ya mpinzania wake wa karibu ndugu JK mwenye asilimia 17%.
Ni wazi kabisa kuwa watanzania wana kiu ya mabadiliko.
Mungu ibariki Tanzania!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.