Graduates wa IFM ni wazuri sana kazini

Akh!!! Ujinga mtupu mtu kukaa akaponda chuo flani na kufagilia kwengine!! TZ hakuna chuo ata kimoja kilichokuwa perfect vyote elimu mgogoro.... Muhimu mtu kupata kazi tu, kuna watu wana bachelor za vyuo vikubwa na kazi hawana wkt wenye bachelor vyuo vidogo kazi wanazo sasa manake nn? Ifm, Udsm, Udom na vyengine vyote bomu tu!! Mnawaponda wa Ifm lkn wapo wengi wanafanya kazi na wana kula raha kuliko alosoma Udsm! Msiache kazi kulinganisha vyuo huo ni upuuzi, muhimu kupata kazi na wa Ifm kazi wanapata km kawaida!! Tukae tulinganishe vyuo vya government na vya prvt!
 
Beside IFM is based ktk mambo ya finance, so wale wanaokwenda kusoma IT &Comp sc. Wanaenda kupoteza muda tu bcz course structure ya ayo masomo ata hayaendani na COURSE yenyewe
 
Nimekua nikiajiri graduates kutoka vyuo mbalimbali kwa muda sasa. Navutiwa na utendaji kazi wa graduates wa IFM. Je kwanini hicho chuo akipandishwi kuwa university?
Mbona kama unaji-contradict mwenyewe? Kama vyuo vikuu havitoi wanafunzi wazuri kufikia wale wa IFM, kwa nini tena unataka IFM iwe chuo kikuu? Kikiwa chuo kikuu si itatoa wanafunzi wasioridhisha kama vyuo vikuu vilivyopo?
 
sikubaliani nawe! kwanza ni wezi,pili utamkuta ana-upper second lakini hawana uwezo wa ku-think strategically, ni watu wanaopenda kujikweza sana. hawajui kazi kabisa, they don't want to work under presure .....pia wanapenda sana wapewe chance za kusafiri sana kuliko wengine.
 
Wala sio kitu cha kuongea polepole IFM inatisha angalia tu kwenye soko la ajira utajua...Kuwa University haijalishi ila utendaji ndio kitu cha msingi...

mwaka jana tulijiraumu kumwajiri graduate wa university moja hapa bongo tena kubwa sana...alikuja kwa mbembwe anaweza na anajua Acccounting aisee huyu jamaa alikuwa hewa sana. Imagine ana GPA 4.6 lakini tulimpa afanye reconciliation tu hajui...tukamhamisha kuwa cashier baada ya probation yake kuisha......i regret my decision maana hata kureconcile petty cash yake ilikuwa shida. ilibidi tumwachishe na tukachukua jamaa wa IFM aisee yuko vizuri sana katika financial managemet/accounting
 
sikubaliani nawe! kwanza ni wezi,pili utamkuta ana-upper second lakini hawana uwezo wa ku-think strategically, ni watu wanaopenda kujikweza sana. hawajui kazi kabisa, they don't want to work under presure .....pia wanapenda sana wapewe chance za kusafiri sana kuliko wengine.


hahahahahah ndg una bifu na mtu nini hapo offisini kwenu? mii nawapa 100% zaidi ya vyuo vingine...ukipata IT wa IFM tatizo lako kwisha wako vizuri pia
 
Wala sio kitu cha kuongea polepole IFM inatisha angalia tu kwenye soko la ajira utajua...Kuwa University haijalishi ila utendaji ndio kitu cha msingi...

mwaka jana tulijiraumu kumwajiri graduate wa university moja hapa bongo tena kubwa sana...alikuja kwa mbembwe anaweza na anajua Acccounting aisee huyu jamaa alikuwa hewa sana. Imagine ana GPA 4.6 lakini tulimpa afanye reconciliation tu hajui...tukamhamisha kuwa cashier baada ya probation yake kuisha......i regret my decision maana hata kureconcile petty cash yake ilikuwa shida. ilibidi tumwachishe na tukachukua jamaa wa IFM aisee yuko vizuri sana katika financial managemet/accounting

sa c useme tu huyo jamaa ni wa mzumbe tujue kimoja mkuu?
 
Nimekua nikiajiri graduates kutoka vyuo mbalimbali kwa muda sasa. Navutiwa na utendaji kazi wa graduates wa IFM. Je kwanini hicho chuo akipandishwi kuwa university?

wewe mwenyewe umeajiriwa, unasemaje anaajiri wengine? do you own a company? kama ndivyo sawa kama sivyo.......!!!!!!
 
Labda watueleze wapi wanakopiga kazi hao wahitimu huenda ni kwenye Halmashauri zetu wanakodai DSA hata wakiandika report zao za mwezi
 
Nimekua nikiajiri graduates kutoka vyuo mbalimbali kwa muda sasa. Navutiwa na utendaji kazi wa graduates wa IFM. Je kwanini hicho chuo akipandishwi kuwa university?

kwani unadhani nesi akifanya kazi vizuri anaweza kuwa daktari bingwa????. wewe unaajiri kweli ??
 
Utoto huo basi vya Kenya na Uganda na vyakizungu ndio vizuri..... yani hapa kwetu hakuna kizuri..... Vyote vibaya .....mwenzenu ameamua kusifia sasa Mara huyu aseme wanapenda safari inamaaana ni graduate wote wa IFM acheni kugeneralise....

Hebu jadilini mambo ya msingi
 
Huo ndio ukweli IFM imekuwa ikitoa graduates wazuri wanaobisha hawajui kitu kuhusu soko la ajira. Ila haiwezi kuwa university mpaka iwe na campus,na kwa habari niliyonayo ni kwamba wanataka kujenga chuo huko msata.


Hivi sikuhizi mitihani hapo IFM inauzwaje?
 
IFM pale mitihani ni tight si mchezo...na hilo la kufanya vizuri ajira kwenye linasemwa sana hata mimi nakumbuka back in 2009 NMB walimwaga nafasi kibao za ajira na wakaweka kipengele kwa herufi kubwa wanataka graduates wa IFM..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom