Graduates wa IFM ni wazuri sana kazini

mlimbwende

Member
Jul 15, 2011
74
26
Nimekua nikiajiri graduates kutoka vyuo mbalimbali kwa muda sasa. Navutiwa na utendaji kazi wa graduates wa IFM. Je kwanini hicho chuo akipandishwi kuwa university?
 
Acha kujipigia debe we ndugu....Kuwa best kazini mbona haviendani na kuwa university? Kwani university huwa inatoa watu bora siku zote? Hamna relation hapo wala nini...Ukisikia upupu ndio huo.
 
Baadae saaaana,kwa sasa hakiwezi kupata hiyo nafasi mpaka kiwe accrediated na sidhani kama kuna foreign hata mmoja anaye soma pale ifm,kuhusu utendaji kazi labda una sababu zako binafsi lakini hata vyuo kama mzumbe,iaa,cbe,udsm,muccobs na udom kwa course hizo za biashara mbona sio wabaya.Basi na iaa wapigie debe nao wawezeshwe kiwe university.
 
Hamna lolote hapo,we sema ni 1st yr unataka kujua ubora wa hapo Ifm kiujanja.
 
Huo ndio ukweli IFM imekuwa ikitoa graduates wazuri wanaobisha hawajui kitu kuhusu soko la ajira. Ila haiwezi kuwa university mpaka iwe na campus,na kwa habari niliyonayo ni kwamba wanataka kujenga chuo huko msata.
 
Nimekua nikiajiri graduates kutoka vyuo mbalimbali kwa muda sasa. Navutiwa na utendaji kazi wa graduates wa IFM. Je kwanini hicho chuo akipandishwi kuwa university?

Naona umeamua kuingia kazini mwenyewe kukipigia promo..Ushafanya uchunguzi asilimia kubwa ya wakufunzi hapa IFM wametoka wapi au vyuo vipi?
 
Acha kutudanganya wewe.... Hamna kitu huko IFM, matozi tu hao...usharobaro umewajaa. Unawapigia promo nini?
 
University ni jina tu, halina uhusiano na ubora wa wanafunzi.

Japo siaamini unachosema, wala sijakuelewa. Ni wazuri nyanja gani?.

Hebu tueleze wewe unahusika na mambo gani unakuwa na uwezo wa kuajiri product za IFM wengi.
 
Ifm graduatese are really good, mi sijasoma pale ila nafanya nao kazi, wanajua wanafanya nini, ltusipinge kila kitu, lets give them credit, they deserve it!
 
Ifm graduatese are really good, mi sijasoma pale ila nafanya nao kazi, wanajua wanafanya nini, ltusipinge kila kitu, lets give them credit, they deserve it!

we nae walewale tu,graduates wa maana hapa bongo wanatoka udsm,sua,ardhi na muhimbili,huko kwingne wanatoka makanjanja tu.
 
hivi mnapata wapi? Hizo data mnajua ubora wa elimu unapimwaje?.hao wng ni watalii.na makosa si yao ni sera ya elimu na mitaala ya tz
 
IFM graduates wake wamezaji wa mambo ila hawana upeo wa kuchambua mambo na ndio maana hata siku moja hawashiriki katika midahalo inayoigusa jamii,Ni taasisi inayojitutumua kwa kuongoza kudahili wanafunzi ila elimu yao haikidhi,Na hili linatokana na kuajiri waadhili wasio na uzoefu wala tafiti zozote zaidi ya kuwapa washkaji tu waliopata upper second jukumu la kupika shahada za hao wakufunzi,Kwa hali hii usitegemee muhitimu ku-compete freely and equally na wahitimu wa vyuo vingine.
 
mleta thread na wanaoendekeza ubishi wa aina hii wote ni wanafunzi, mkiingia mtaani huu ujinga wenu mtaacha
 
Da hv kila m2 akianza kusifia chuo chake c kutakuwa na thread zaid ya 40 hapa, bt tuangalie watu binafsi na si chuo. Wanapoajiri hawaangalii chuo ila competent ya mtu. Tuache malumbano ya vyuo bana 2liomaliza vyuo ndo 2nafahamu mtaani kukoje
 
Watu hawaangalii chuo,bali ufanisi wako ndio unakufanya wewe uonekane bora na siyo chuo.
 
Tunalo jamaa moja hapa kwetu ni alikuja kama mhasibu kufanya recon tu hawezi uwiiiiii ikabidi awe receptionist!
 
Kunanukia U-promo.... Hata hivo inategemea na kozi... IFM inatoa graduates wazuri saana katika baaadhi ya kozi....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom