bwaiseekwetu
Senior Member
- May 29, 2022
- 145
- 427
Hakika hali ni mbaya. Katika mizunguko yangu ya kumalizia weekend, nikasema niingie kwenye ki-pub kimoja cha mtaani nipate hata ka-bia kamoja kupoza Koo.
Mhudumu mdada aliyenihudumia ni graduate wa Bachelor degree ya Human Resources Management kutoka Mzumbe University na alimaliza 2019. Anasema tangu a-graduate hajawahi kupata Ajira kokote zaidi ya kusaga soli kutafuta Ajira Nchi nzima kuanzia Januari mpaka December bila mafanikio.
Tufanye nini kama Taifa wana JF? Na kama kuna mwana JF ana msaada wa Ajira tafadhali naomba amsaidie huyu Dada, yupo tayari kufanya kazi mahali popote.
Kwa niaba yake TUTASHUKURU sana kwa atakayesaidia. Kabila lake ni Mmasai, umri miaka 27.
Mhudumu mdada aliyenihudumia ni graduate wa Bachelor degree ya Human Resources Management kutoka Mzumbe University na alimaliza 2019. Anasema tangu a-graduate hajawahi kupata Ajira kokote zaidi ya kusaga soli kutafuta Ajira Nchi nzima kuanzia Januari mpaka December bila mafanikio.
Tufanye nini kama Taifa wana JF? Na kama kuna mwana JF ana msaada wa Ajira tafadhali naomba amsaidie huyu Dada, yupo tayari kufanya kazi mahali popote.
Kwa niaba yake TUTASHUKURU sana kwa atakayesaidia. Kabila lake ni Mmasai, umri miaka 27.