Graduates wa IFM ni wazuri sana kazini

sikubaliani nawe! kwanza ni wezi,pili utamkuta ana-upper second lakini hawana uwezo wa ku-think strategically, ni watu wanaopenda kujikweza sana. hawajui kazi kabisa, they don't want to work under presure .....pia wanapenda sana wapewe chance za kusafiri sana kuliko wengine.
IFM hakuna bachelor za sociology,int'l relation wala journalism...kwa hiyo usiwaletee mambo ya debate,.we mpe financial statement aifanyie interpretation au aiandae..
 
Nataka kujua chuo gani kimetoa viongozi waadilifu wengi zaidi na chuo gani kimetoa vionghozi wala rushwa kupindukia km kikwete,lowasa,rostam na mapapa wengine?...........................kiukweli ifm nazikubali products zao na hua wanafanya vizuri interview na kazi pia wako safi ila kwa ushabiki wa vyuo uliopo humu jamvini huwezi kuelewa nani anasema ukweli na nani sio...............ushabiki wa vyuo ni km vile ushabki wa vyama vya siasa kwani kuna wengine ukiwauliza kwa nini unaipenda ccm pamoja na utumbo wooote unaoendelea anakuwa hana la kujibu
 
IFM graduates wake wamezaji wa mambo ila hawana upeo wa kuchambua mambo na ndio maana hata siku moja hawashiriki katika midahalo inayoigusa jamii,Ni taasisi inayojitutumua kwa kuongoza kudahili wanafunzi ila elimu yao haikidhi,Na hili linatokana na kuajiri waadhili wasio na uzoefu wala tafiti zozote zaidi ya kuwapa washkaji tu waliopata upper second jukumu la kupika shahada za hao wakufunzi,Kwa hali hii usitegemee muhitimu ku-compete freely and equally na wahitimu wa vyuo vingine.
we vipi?IFM hakuna journalism wala sijui bachela za utawala,..waletee vitabu wakuandalie financial statement au wakufanyie calculation ya tax liability
na hata hiyo midahalo yenyewe kwa mfano yale mashindano ya zain ya vyuo vikuu mbalimbali tuliona uwezo wa vyuo vikuu vyetu..wengi walijibu maswali kibogusbogus.....
 
IFM pale mitihani ni tight si mchezo...na hilo la kufanya vizuri ajira kwenye linasemwa sana hata mimi nakumbuka back in 2009 NMB walimwaga nafasi kibao za ajira na wakaweka kipengele kwa herufi kubwa wanataka graduates wa IFM..

inawezekana mitihani ni tight na si mchezo.,.hivi hujiulizi akina nani wameenda hapo?
 
IFM pale mitihani ni tight si mchezo...na hilo la kufanya vizuri ajira kwenye linasemwa sana hata mimi nakumbuka back in 2009 NMB walimwaga nafasi kibao za ajira na wakaweka kipengele kwa herufi kubwa wanataka graduates wa IFM..

haswa ile ya kudefine Assets, Liabiliy na cashbook, kweli mitihani ya pale ni tight.
 
Duh wadau jf ninapenda kuwajulisha kitu....IFM ni graduates wazur wa finance n accounting..wapo compitent sana...ila nw kuna wimbi kubwa wa wizi ktk mabenk n NGOs.nasikitika kusema kuwa idadi kubwa ni IFM students.imefika mahali watu 2nashndwa kuwa promoted na kufuatiliwa sana ktk mchakato wa recruitment sehemu mbalimbali....jamani 2cwakate tamaa vijana wenzetu wa ifm tuliowaacha nyuma.2badilike 2dumishe uaminifu wana wa ifm.ni hayo tuu.
 
Nimekua nikiajiri graduates kutoka vyuo mbalimbali kwa muda sasa. Navutiwa na utendaji kazi wa graduates wa IFM. Je kwanini hicho chuo akipandishwi kuwa university?
Sasa kama chuo kinatoa graduates wazuri, kwa nini kipandishwe hadi na kuwa university... si kiendelee tu na kazi ya kutoa graduates wazuri!
 
Ni vema tusikimbilie kumpinga mtoa hoja maana haja specify amekuwa akiajiri watu katika fani gani.maana kiukweli ukienda IFM unajifunza mengi(kati kati ya jiji pale wandugu) na ndio maana chuo kile kina mengi...Ila kama unamaanisha una ajiri watu katika hizi field za kazi zinazoeleweka nitakuwa na mashaka na hoja yako na naweza amini unafanya promo maana katika fani nyingi IFM walimu wake kama hawakusoma vyuo vingine hasa Mzumbe na UDSM basi watakuwa ni walimu wa Mzumbe na UDSM na wakifanya part time ukifuatilia utajua ukweli.

Nimekua nikiajiri graduates kutoka vyuo mbalimbali kwa muda sasa. Navutiwa na utendaji kazi wa graduates wa IFM. Je kwanini hicho chuo akipandishwi kuwa university?
 
mimi kama mkuu wa kitengo cha habari na mawasiliano hapa nilipo...kuna vijana wengi lakini kuna kijana katoka hapo ifm ni mzuri sana anafanya kazi sana na ni mbunifu ....wengine waliotka vyuo vingine kama udsm bado hawafiki huyu dogo. kuna wengine hata kubana rj45 ilikuwa ni shida mpaka inabidi tuanze kufundishana....

kwa upande wa dept ya account kuna wahasibu wengi lakini kati ya hao waliotoka ifm wako vizuri kuliko hao wengine waliotoka vyuo vingine hata CA wa hapa anakiri hilo.....

nilichogundua ni kwamba IFM wanafundishwa namna ya kufanya kazi na huko UDSM wanafundishwa namna ya kusimamia kazi...


ndio maana NMB kuna wakati walitoa tangazo likisema waliotoka IFM watapewa kipau mbele
 
Hata mimi nilishamsikia Administrative Officer wa Office moja ya serikali akisema kuwa IFM candidates wako vizuri hata kwenye interview tofauti na vyuo kama CBE etc
 
Mtoa maada anataka kuchota akili watu,kwanza kutoa graduates wazuri sio sababu ya kuwa university;
Huyu jamaa au bibi angekuwa employer angejua utofauti wa institute na univ.
Chuo kuwa institute maana yake sio kuwa hakitoi elimu bora bali ni concentration katika practical rather than theories.
Ubora wa graduate hautegemei chuo peke yake,kwa kiasi kikubwa unategemea na maandalizi ya graduate mwenyewe katika ku-face mazingira ya kazi na baadae ni alichokipata chuoni.
Ugumu wa mitihani sio ubora wa graduate ,mitihani inaweza kuwa migumu kiasi cha kukufanya kuwa hard worker,mitihani moderate inaweza lenga kukuandaa kuwa smart worker. Ulimwengu kwa sasa unamuhitaji smart worker ambaye ni creative na sio hard worker aliyekuwa anakariri assignment zinazorudi kuwa mitihani. Nilikutana na jamaa wa IAA anajisifu kuwa shule yao ni ngumu lakini kwa kiasi gani imemuandaa kuwa creative ? Usomi wetu umekuwa wa kukariri tu halafu bado tunabaki kusema chuo bora chuo bora, kama vyuo hivi tunavyosifu ni bora, vingetoa graduate ambao wangesaidia kupunguza japo tatizo la foleni sio wanaoliongeza kwa kukimbilia mikopo ya magari, shilingi inaanguka nitajie graduate bora wa chuo bora aliyekuja na solution ya kuokoa shilingi hata kwa simple research
Lets be great thinkers
 
Mtoa maada anataka kuchota akili watu,kwanza kutoa graduates wazuri sio sababu ya kuwa university;
Huyu jamaa au bibi angekuwa employer angejua utofauti wa institute na univ.
Chuo kuwa institute maana yake sio kuwa hakitoi elimu bora bali ni concentration katika practical rather than theories.
Ubora wa graduate hautegemei chuo peke yake,kwa kiasi kikubwa unategemea na maandalizi ya graduate mwenyewe katika ku-face mazingira ya kazi na baadae ni alichokipata chuoni.
Ugumu wa mitihani sio ubora wa graduate ,mitihani inaweza kuwa migumu kiasi cha kukufanya kuwa hard worker,mitihani moderate inaweza lenga kukuandaa kuwa smart worker. Ulimwengu kwa sasa unamuhitaji smart worker ambaye ni creative na sio hard worker aliyekuwa anakariri assignment zinazorudi kuwa mitihani. Nilikutana na jamaa wa IAA anajisifu kuwa shule yao ni ngumu lakini kwa kiasi gani imemuandaa kuwa creative ? Usomi wetu umekuwa wa kukariri tu halafu bado tunabaki kusema chuo bora chuo bora, kama vyuo hivi tunavyosifu ni bora, vingetoa graduate ambao wangesaidia kupunguza japo tatizo la foleni sio wanaoliongeza kwa kukimbilia mikopo ya magari, shilingi inaanguka nitajie graduate bora wa chuo bora aliyekuja na solution ya kuokoa shilingi hata kwa simple research
Lets be great thinkers

umeongea point nyingi za msingi,tatizo letu kubwa ni kufurahi kuajiriwa na kupata mshahara utakao tuwezesha kufanya anasa za kutosha hapa jijini na haya ndio malengo ya wahitimu wengi,Ila tunasoma katika mazingira mabovu na tunapomaliza tunasahau kila kitu na wala hatujiangaishi kutatua challenges zilizokuwa zinatukabili na zinazoendelea kutukabili,Mfumo pia unatubana hata kama tunaufumbuzi vichwani vya matatizo yanayokabili taifa kiukweli hatuna sehemu ya kuyafikisha mpaka wanasiasa wahafiki.
 
Nimekua nikiajiri graduates kutoka vyuo mbalimbali kwa muda sasa. Navutiwa na utendaji kazi wa graduates wa IFM. Je kwanini hicho chuo akipandishwi kuwa university?

Uandishi tu wa thread unaweza kuonyesha kama mwajiri ni kanjanja au professional
Me ni professional ila sijatoka kwenye chuo chochote kati ya mnavyovipigia debe lakin nimeweza kuona mnaosema mmetoka vyuo bora mnavyochotwa akili. Elimu bora isiishie kwenye 1 + 1=2 ;ikupe uwezo wa kujiuliza why ,how ,where,when,what if ;then utafute majibu kutokana na hiyo elimu yako unayoiita bora,
Elimu bora sio kukariri
Niliwahi kumuuliza mmoja wapo wa wanafunzi katika vyuo bora (the so called) maana ya co. ltd ,nilichojibiwa nilitamani ifutwe admission yake katika hiyo best college
 
malizeni shule mje mtaani tupambane na maisha,wacheni kuishi in a fantasy world nyie jamaa!hamuwezi elewa haya sasa hivi ila mkitoka kwenye ndoto mnazoishi chuoni mtaamka na kukutana na ukweli kuhusu maisha....kudadadeki!!!
 
Nimekua nikiajiri graduates kutoka vyuo mbalimbali kwa muda sasa. Navutiwa na utendaji kazi wa graduates wa IFM. Je kwanini hicho chuo akipandishwi kuwa university?

Mkuu utafiti wako mbona haulezei ulifanya vipi ulisoma statistics mkuu au unataka kuanza ule ubishi wa vijiweni una argue bila figure/data yeyote.Vyuo vyetu vina hali mbaya sana mkuu na standard inazidi kushuka kila itwayo leo. Waliosoma miaka ya nyuma kidogo watakupa ushahidi wa hili,kuna tofauti kubwa kati ya graduates wa miaka hii na wakati ule( 2000 kurudi nyuma).Watu wanenda vyuoni kutafuta GPAs tu siku hizi na siyo knowledge.Inasikitisha sana mkuu
 
Mtoa maada anataka kuchota akili watu,kwanza kutoa graduates wazuri sio sababu ya kuwa university;
Huyu jamaa au bibi angekuwa employer angejua utofauti wa institute na univ.
Chuo kuwa institute maana yake sio kuwa hakitoi elimu bora bali ni concentration katika practical rather than theories.
Ubora wa graduate hautegemei chuo peke yake,kwa kiasi kikubwa unategemea na maandalizi ya graduate mwenyewe katika ku-face mazingira ya kazi na baadae ni alichokipata chuoni.
Ugumu wa mitihani sio ubora wa graduate ,mitihani inaweza kuwa migumu kiasi cha kukufanya kuwa hard worker,mitihani moderate inaweza lenga kukuandaa kuwa smart worker. Ulimwengu kwa sasa unamuhitaji smart worker ambaye ni creative na sio hard worker aliyekuwa anakariri assignment zinazorudi kuwa mitihani. Nilikutana na jamaa wa IAA anajisifu kuwa shule yao ni ngumu lakini kwa kiasi gani imemuandaa kuwa creative ? Usomi wetu umekuwa wa kukariri tu halafu bado tunabaki kusema chuo bora chuo bora, kama vyuo hivi tunavyosifu ni bora, vingetoa graduate ambao wangesaidia kupunguza japo tatizo la foleni sio wanaoliongeza kwa kukimbilia mikopo ya magari, shilingi inaanguka nitajie graduate bora wa chuo bora aliyekuja na solution ya kuokoa shilingi hata kwa simple research
Lets be great thinkers

Well said mkuu nakugongea like.Hapo kwenye red nadhani sahihi ni hard working.Thanks
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom